iPhone 4s for sell

Uza kwa pesa ye2 ya madafu.dola inapanda kila siku.
 
Ndo maana nimeweka namba ya simu si unaelewa biashara maelewano nimemwaga ugali weye mwaga mboga.....
 
Hivi mkiuza in Tshs mnakuwaje au bidhaa haiuziki??
 
mm nauza laki saba, kitu o.g from amerika niyakampuni ya t&t. Used zenye hali nzuri.
 
bei kubwa hiyo.........800k tsh tuuze nasi tupate ugali!!
 
Iko locked or unlocked? Software ya ku-unlock 4S bado haijaingia sokoni, so Sijui utawezaje kuifanya ifanye kazi sawasawa na kuenjoy kila kilichopo kwenye hiyo simu? Iphone ni kama computer, sasa kama hutaweza kutumia functions nyingi humo, is as good as kuwa nayo tu kama status flani hivi lakini haina value for your money. Iphones work perfectly in US, Bongo ni kuzushana, utaweza kupiga na kupokea ikiwa unlocked yes, but how about other applications? like GPS ETC.

 

Sure mkuu!!
Bongo tunayeyushana tu na haya makitu!!
 
hii iphone 4s ipo unlocked imenunuliwa hivyo kama wataka nishaweka kikadi cha voda na kinafanya kazi kwa ajili ya kudemo features zake
 
 
 
 
Nawashukuru wote waliokuwa na interest na hii simu sasa imeuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…