Quinty JF-Expert Member Mar 25, 2010 462 74 Dec 6, 2011 #1 Nauza iPhone 3G's iko kwenye hali nzuri nimeitumia miezi mitatu tu. Anayetaka anipm tufanye biashara. Attachments DSC06915.jpg 60.7 KB · Views: 83 DSC06916.jpg 57.8 KB · Views: 66 DSC06918.jpg 52.5 KB · Views: 58 DSC06919.jpg 52 KB · Views: 63 DSC06920.jpg 43.7 KB · Views: 65
Nauza iPhone 3G's iko kwenye hali nzuri nimeitumia miezi mitatu tu. Anayetaka anipm tufanye biashara.
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,822 59,428 Dec 6, 2011 #2 Are you out of your freaking mind? Dollar laki nne hiyo Iphone ina uhai?
Enginier JF-Expert Member Nov 11, 2010 275 35 Dec 6, 2011 #4 Do you knw $ lakini ? then times 450,000. Do u knw mathematics?
StaffordKibona JF-Expert Member Apr 21, 2008 669 57 Dec 6, 2011 #6 Amekosea alitaka kuandika Tsh 450,000
Vin Diesel JF-Expert Member Mar 1, 2011 9,088 6,368 Dec 6, 2011 #7 Tz hii unapata iphone 4 mpya kwa tsh 850000....
Mpita Njia JF-Expert Member Mar 3, 2008 6,997 1,163 Dec 6, 2011 #8 StaffordKibona said: Amekosea alitaka kuandika Tsh 450,000 Click to expand... We Kibona una uhakika kakosea? Mbona mwenyewe haji kurekebisha?
StaffordKibona said: Amekosea alitaka kuandika Tsh 450,000 Click to expand... We Kibona una uhakika kakosea? Mbona mwenyewe haji kurekebisha?
K Kifulambute JF-Expert Member May 8, 2011 2,539 755 Dec 6, 2011 #9 kama hamjui mathematics muende hata std 2 mkajifunze...$450,000 unajua ni ngapi kwa TZ hapo tu kwanza wewe huna integrity
kama hamjui mathematics muende hata std 2 mkajifunze...$450,000 unajua ni ngapi kwa TZ hapo tu kwanza wewe huna integrity
muwaha JF-Expert Member May 13, 2009 740 148 Dec 6, 2011 #10 Duuuuuuu! Kweli bongo ni nomaaaaa,jamaa anauza simu au mgodi?
mfianchi Platinum Member Jul 1, 2009 11,867 8,280 Dec 6, 2011 #12 Huenda kakosea wajameni nafikiri alitaka kuandika $ 450,si majua hakuna umeme sasa huenda jamaa katumia kisimu
Huenda kakosea wajameni nafikiri alitaka kuandika $ 450,si majua hakuna umeme sasa huenda jamaa katumia kisimu
Brakelyn JF-Expert Member Oct 6, 2009 1,181 517 Dec 6, 2011 #13 1USD = 1690TSH,,,,, $450,000=76,0500,000TSH ,,, Iphone 3GS kuuzwa milioni 76 Tanzania,!! :smash: :smash: alafu mkuu hii mbona bado ipo na AT&T hapo, inapatikana marekani tu au ni factory Unlocked kuweka hata mitandao ya Bongo? pili, ina capacity gani? tatu, punguza bei $450,000 ipo juu sana',,,
1USD = 1690TSH,,,,, $450,000=76,0500,000TSH ,,, Iphone 3GS kuuzwa milioni 76 Tanzania,!! :smash: :smash: alafu mkuu hii mbona bado ipo na AT&T hapo, inapatikana marekani tu au ni factory Unlocked kuweka hata mitandao ya Bongo? pili, ina capacity gani? tatu, punguza bei $450,000 ipo juu sana',,,
Memo JF-Expert Member Jan 17, 2011 2,157 760 Dec 6, 2011 #14 Mi nimependa hii tu!!! Hayo mengine mi hayanihusu
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Dec 6, 2011 #15 StaffordKibona said: Amekosea alitaka kuandika Tsh 450,000 Click to expand... hajakosea bana
Quinty JF-Expert Member Mar 25, 2010 462 74 Dec 6, 2011 Thread starter #16 Jamani bei ni TZS 450,000/- Pungufu mnaongea.
Quinty JF-Expert Member Mar 25, 2010 462 74 Dec 6, 2011 Thread starter #17 Hii picha nilipiga kabla sijabadili mtandao from AT&T to Airtel
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Dec 21, 2010 2,697 1,962 Dec 7, 2011 #18 Laki mbili ipo, siku ukiona inafaa tuwasiliane.
baraka607 JF-Expert Member Aug 2, 2010 844 165 Dec 7, 2011 #19 Tshs. 280,000 twende sawa nikupe pesa!QUOTE=Quinty;2937614]Hii picha nilipiga kabla sijabadili mtandao from AT&T to Airtel[/QUOTE]
Tshs. 280,000 twende sawa nikupe pesa!QUOTE=Quinty;2937614]Hii picha nilipiga kabla sijabadili mtandao from AT&T to Airtel[/QUOTE]
baraka607 JF-Expert Member Aug 2, 2010 844 165 Dec 7, 2011 #20 Quinty said: Nauza iPhone 3G's iko kwenye hali nzuri nimeitumia miezi mitatu tu. Anayetaka anipm tufanye biashara. Click to expand... Ntakutoa 280000/=
Quinty said: Nauza iPhone 3G's iko kwenye hali nzuri nimeitumia miezi mitatu tu. Anayetaka anipm tufanye biashara. Click to expand... Ntakutoa 280000/=