Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,293
- 2,623
Ni kawaida kwa products mpya kuwa na drawbacks za hapa na pale..
Ila kwa sababu Apple wanajifanyaga wao wako perfect, na wanawaaminisha watu wao huwa hawakosei, ndiyo maana kelele ni nyingi..
Hata hivyo toleo la iphone 15 halina tofauti saaana na iphone 14.
Usikute moto wa Kariakoo leo umesababishwa na iphone 15!View attachment 2768389
Kampuni ya apple inatoa toleo jipya la iOS 17 ili kuweza kutatua changamoto ya simu za iphone 15 pro kupata sana moto kupita kiasi.
Toka iphone 15 zilizopotoka watu wengi wamelalamika sana kuhusu kupata moto wakati unatumia Yani inashika moto kama unachemsha maji Kwenye birika.
View attachment 2768388
Hatimaye apple wametoa maelezo kuhusu hiyo changamoto kuwa ni Third part app ambazo zinasababisha simu za iphone 15 pro kupata sana moto.
View attachment 2768390
Kwaiyo wanafanyia marekebisho iOS yao kwa kuondoa bugs na kufanya update ya app ambazo zinaleta shida Kwenye iOS 17.
Maelezo ya apple [emoji116][emoji116]
View attachment 2768392
Hivi i15 unauzwa Mil 5? Dah watu wana hela.Kwa hiyo kwa sasa jamaa wanauza heater kwa TZS 5mil
Hivi i15 unauzwa Mil 5? Dah watu wana hela.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Usikute moto wa Kariakoo leo umesababishwa na iphone 15!
Ewee Maenyezi Mungu tunusuru...
Unataka kusema nini [emoji44][emoji44]Pasi zinauzwa sh 35,000 ya nini nikanunue pasi ya Milioni 4 sasa
Hebu iPhone kuweni serious
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]jiongeze mkuuUnataka kusema nini [emoji44][emoji44]