Ipe maneno hii picha...

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,681
Reaction score
59,180


Amani Nkurlu akijaza fomu ya kugombea nafasi ya Uenyekiti wa UVCCM kata ya Kawe.mia
 
Anakandamiza! kapeni kenyewe hakana afya sijui kama alimaliza salama kujaza fomu!
 
Naandika barua ii kuwa nikitoka hapa na vaa gwanda za chadema nakuliacha ili nililovaa ee mungu nisaidia hawa mafisad wasinidhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…