ipad nauza

ipad nauza

massai

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2011
Posts
653
Reaction score
137
iko kwenye hali nzuri,kama mpya vile 16gb inasehemu yakuweka line ya simu,haina kamera.0655945598
 
iko kwenye hali nzuri,kama mpya vile 16gb inasehemu yakuweka line ya simu,haina kamera.0655945598

Laki 1.5 utakula? Maana umesema unauza tu na hausemi bei!!! Weka ful specs hapa na bei! Ni apple ipad au Yu Tong? teh teh
 
Laki 1.5 utakula? Maana umesema unauza tu na hausemi bei!!! Weka ful specs hapa na bei! Ni apple ipad au Yu Tong? teh teh

Wakati wewe unaleta masihara kwenye mambo ya msingi,wenzio tupo humu jamvini ku make something.nini maana yakuweka namba ya simu???inaelekea hukua seriouse kwanza umeanza kwa ku egnore wakati hata hukutaka kuspenda time just getting to know it,poa,next time ntakucheki na kitu kingine cha apple kwa sasa ninayo iphone 4, 16gb.
 
Wakati wewe unaleta masihara kwenye mambo ya msingi,wenzio tupo humu jamvini ku make something.nini maana yakuweka namba ya simu???inaelekea hukua seriouse kwanza umeanza kwa ku egnore wakati hata hukutaka kuspenda time just getting to know it,poa,next time ntakucheki na kitu kingine cha apple kwa sasa ninayo iphone 4, 16gb.

Kamchango ketu umewasilisha lakini?...Au ndy JF shamba la bibi kuvuna bila kupanda!
Na hiyo iphone unauzaje? AU BEI MPAKA NIKUPIGIE SIMU? 😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:
 
Back
Top Bottom