Bei gani..au siri kama tambiko
Nauza ipad 3 3G + WiFi 16GB, iko bomba na ina charger yake. Nimeinunua Jan 2013. Serious buyer please inbox...
Bei Tshs 950,000/= Negotiable
Mm ninayo ipad 4 nauza kilo 7 tu
Bei gani..au siri kama tambiko
Mbona jamaa kaweka bei au sasa suala la kuweka bei umekuwa wimbo uliokaririwa,ukiona kiu kinauzwa inatokea korasi ya wimbo''weka bei' jamaa kaweka 9550,000 na maongezi yapo
Mbona jamaa kaweka bei au sasa suala la kuweka bei umekuwa wimbo uliokaririwa,ukiona kiu kinauzwa inatokea korasi ya wimbo''weka bei' jamaa kaweka 9550,000 na maongezi yapo
Done... Nimeweka bei
Hili tangazo ulilisoma vizuri au ulikuwa unawahi ndugu Memo?
Kwa kuangalia tu utajua jamaa anauza 955000 kwa akili yako wewe unaona inauzwa 9m,hayo ni makosa ya kutype,haitaji unajimu wa marehemu Yahya kutambua hilo kosaSoma post ya 4 ndio utamwelewa aliyeulizia bei.