naombeni msaada kwa wale waliofanya interview bot post za mwaka jana mniambie inakuwa ni oral au writen coz nimeitwa alhamic
naombeni msaada kwa wale waliofanya interview bot post za mwaka jana mniambie inakuwa ni oral au writen coz nimeitwa alhamic
Mkuu si upige simu au watumie email kuwauliza kama ni oral au written.Sio dhambi kuuliza wala haito kukosesha kazi.What if ikitokea mwaka huu wamebadilisha utaratibu,utaingia chaka
umeitwa post gani?interview ni written?
Hakuna Interview ambayo ni written duniani.
Mkuu si upige simu au watumie email kuwauliza kama ni oral au written.Sio dhambi kuuliza wala haito kukosesha kazi.What if ikitokea mwaka huu wamebadilisha utaratibu,utaingia chaka
Hakuna Interview ambayo ni written duniani.
ni legal officer II, swali lako la pl cjakuelewa coz na mm nataka kujua kwamba ni oral au written
yap utafanya aptitude test ambayo wengine huita written interview. maswali ni general mengine yatatoka kwenye Kwenye proffessional.