jamani hawa jamaa wa uhamiaji walibandika tangazo la kazi ofisini kwao,sasa nauliza hivi majina ya watakaoitwa usaili yatabandikwa ofisini kwao ,watatoa magazetini au watapigiwa simu?
si kweli watu mnatakiwa kuomba kama una au mna sifa stahiki,hayo maneno kwamba wanasubiri kwenda CCP au tayari wamepewa ndg zao ya wale waliokata tamaa.pambana mpaka tone la mwisho.ukiitwa kwenye USAILI jina gazetini na kwenye website yao
jamani hawa jamaa wa uhamiaji walibandika tangazo la kazi ofisini kwao,sasa nauliza hivi majina ya watakaoitwa usaili yatabandikwa ofisini kwao ,watatoa magazetini au watapigiwa simu?