Interview PPF

geofmwemezi

Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
12
Reaction score
1
Mambo vp wadau?

Yeyote mwenye taarifa khs kuitwa kwenye usahili wa post sita za operation trainees naomba anijuze,

Thanks in advance
 
Ila kweli ujue hata mimi nilishasahau.....kweli hata mimi naomba taarifa wadau.
 
Kwani zile post zilizotangazwa Mwaka jana mwezi June kama sikosei, mbona hatukusikia watu wakiitwa? au waliitwa kimya kimya?
 
Mambo vp wadau?

Yeyote mwenye taarifa khs kuitwa kwenye usahili wa post sita za operation trainees naomba anijuze,

Thanks in advance

Mkuu interview ni tarehe 26/03/2014 kama hujaitwa ndo basi tena.
 
Kwani zile post zilizotangazwa Mwaka jana mwezi June kama sikosei, mbona hatukusikia watu wakiitwa? au waliitwa kimya kimya?
Hapana za mwaka jana na hz n tofauti,japo cjawah kusikia wale wa mwaka jana wameshaitwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…