Interview Manispaa ya Ilala

Ivi halmashauri si huwa na tovuti zao, kwa nini huwa hawazitumii kutangaza majina ya waombaji waliochaguliwa.
 
Mariam Mabina but pia nimejaribu kuingia kwenye hiyo web bado yanagoma ku download na nilikuwa nataka kujua maelezo wanavyo viitaji zaid
 
Saa mbil asubuhi hawaja sema vitu vya kubeba lakin naona kutakuwa na written interview
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…