Interview kwenye vyombo vya ulinzi na usalama imekaaje

Interview kwenye vyombo vya ulinzi na usalama imekaaje

Bunchari

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2017
Posts
674
Reaction score
836
Habari ya ijumaa wakuu

Nime apply post za JKT nategemea kufanya usahili hivi punde, hivyo basi namba kupata tips mbili tatu ili niibuke kidedea itakua fedheha kwangu endapo nikikosa maana ukoo mzima umepata hizi taarifa zangu za kutuma maombi nikishindwa yasijejitokeza maneno ya kejeri na kebehi kwangu.

Najua sio mahali sahihi ila naomba mniwie radhi wakuu sio lengo langu naandika huku nina hofu ya kuwa disqualified.Itakua vema kama nikapata michango ya kutosha kuliko vitisho,kebehi na kukatishana tamaa.

Tunatoka sehemu tofauti huenda nachokifikiria sasa ndo mkombozi wangu tofauti na watu wengine waliokwisha fanikiwa kubeza n.k

Asanteni sana ila nasikia kuna changamoto ya mlundikano wa recruiters kule makambini intake kama nne au tano bado zipo bila ajira huwezi jua ya Mungu ni mengi.

Nawasilisha.
 
Mimi cha kukushauri siku nyingine unavyoomba kazi or ukiitwa interview usipende ndugu wajue...wajue tu watu muhimu na kwenyewe kuwe na ulazima mkubwa wa kujua
 
..by the way 'marinda' bado unayo.? Hiyo pia ni sehemu muhimu sana ktk masiliano yao.!!
 
Sijui siku hizi utaratibu wao umekaaje but nakumbuka kuna mwaka niliiomba kupitia wilaya ya temeke ,tulikuwa nyomi sana pale wilayani basi wote wliopeleka barua tuliingia mule ndani kwenye ile miti, then muda kidogo akaja kamanda kuita majina kadhaa kisha akasema wasiosikia majina yao wajaribu mwakani, ilikuwa ni shida hata pale stendi nilipoona mbali.
 
Ile kwani si wameita kwa ajili ya kujitolea??
 
Mi cha kukushauri siku nyingine unavyoomba kazi or ukiitwa interview usipende ndugu wajue...wajue tu watu muhimu na kwenyewe kuwe na ulazima mkubwa wa kujua
Kwani mkuu ndugu wakijua kuna ubaya wowote, nauliza tu mkuu???
 
Kwani mkuu ndugu wakijua kuna ubaya wowote, nauliza tu mkuu???
Kama unaona hakuna ubaya uwe unawaambia tu...kuanzia unavyoomba wataarifu kuanzia majirani...ndugu...watu wote mtaa unapotoka hakuna shida
 
Kama unaona hakuna ubaya uwe unawaambia tu...kuanzia unavyoomba wataarifu kuanzia majirani...ndugu...watu wote mtaa unapotoka hakuna shida
Mkuu mimi nataka kupata uzoefu ndio maana nikauliza, hapa tunaelimishana tu.
 
Kwani mkuu ndugu wakijua kuna ubaya wowote, nauliza tu mkuu???
Ubaya mbona upo kwanza si unaona mwenyewe ulivyokuwa na pressure Kama hutopita kwenye huo usaili sasa vuta picha Kama ingekuwa unajua mwenyewe wala usingehofia hao ndugu zako.
 
Ubaya ndo huo...Kuna mstari kwenye post unaonekana una ofu juu ya ndugu kujua ...huo ndio ubaya. Alafu hii Ni Africa..pamoja na uzungu wa siku wa kuacha mimba wazi na kupiga picha maiti na mazikoni na kuzipost Instagram kumbuka huu msemo ..."kikulacho ki nguoni mwako" na " ...machoni Kama watu ....moyoni hawana utu"
Kwani mkuu ndugu wakijua kuna ubaya wowote, nauliza tu mkuu???
 
Mara nyingi interview ni physical fitness hasa kukimbia

Mkuu umeshafikiria plan B incase mkataba ukiisha bila kukatwa bogi lolote utafanyaje?
 
Back
Top Bottom