Jaman CMSA si ilitangazwa na Utumishi na mchakato mzima unasimamiwa na hawa jamaa?? na utumishi wana utaratib mzuuriii tu wakuweka majina yote wanaoitwa kwnye interview so mtu ukiona hauko kwnye list fasta tu unaangalia mpango mwingine ssa huu mpango tena wakupginiana sim mtu unakaa unasubiria sim uko ni kurudi tena zama za ujima labda ka waliopgiwa sim waliwekwa kwnye database
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.