heee unazania ni kirahisi tuu unapata? ,,, mikazi wanatangaza sana ila sasa hawaiti watu kwenye usaili ni kimya kimyaHeeeee ww mbonaa kazi kibao za course yako hebu acha uvivu ......ingia kwenye ma site ya ajiraaa
Watu mbona wanaitwaaa jamanheee unazania ni kirahisi tuu unapata? ,,, mikazi wanatangaza sana ila sasa hawaiti watu kwenye usaili ni kimya kimya
Kuwa na subira kakaheee unazania ni kirahisi tuu unapata? ,,, mikazi wanatangaza sana ila sasa hawaiti watu kwenye usaili ni kimya kimya
ALL THE BESTHabari wana jamii forum ,nilikuwa naomba kusaidiwa kwa yeyote anae fahamu ofisi wanayo pokea internship tafadhali ,nimesomea bachelor in Business adminstration chuo cha uhasibu