zoyler22 Member Joined Dec 24, 2024 Posts 8 Reaction score 9 Mar 1, 2025 #1 Nilikua nauliza km nikifanya internship kati ya hizi taasisi 2 kutakua na uwezekano wa kupata ajira zikitoka af pia hua wanalipa intern???!
Nilikua nauliza km nikifanya internship kati ya hizi taasisi 2 kutakua na uwezekano wa kupata ajira zikitoka af pia hua wanalipa intern???!
Champion number one JF-Expert Member Joined Dec 17, 2022 Posts 1,516 Reaction score 3,821 Mar 1, 2025 #2 Sukari apaa mawazo ya kichuo chuo utoto raha.
N neno ni upanga JF-Expert Member Joined Jun 28, 2022 Posts 681 Reaction score 2,293 Mar 1, 2025 #3 Internship sio garantee ya kupata ajira hapo zikitoka! Wewe kafanye upate ujuzi! Wakati huo pambania ajira kwa kuhudhuria usaili pale utumishi
Internship sio garantee ya kupata ajira hapo zikitoka! Wewe kafanye upate ujuzi! Wakati huo pambania ajira kwa kuhudhuria usaili pale utumishi
Tanganian JF-Expert Member Joined Jan 27, 2025 Posts 4,939 Reaction score 8,587 Mar 1, 2025 #4 Intership unalipwa kidogo ,wengi ni pesa ya usafiri na chakula..Lakini ishu ya ajira unaweza kuangukia pua.
Intership unalipwa kidogo ,wengi ni pesa ya usafiri na chakula..Lakini ishu ya ajira unaweza kuangukia pua.
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 28,981 Reaction score 51,454 Mar 1, 2025 #5 zoyler22 said: Nilikua nauliza km nikifanya internship kati ya hizi taasisi 2 kutakua na uwezekano wa kupata ajira zikitoka af pia hua wanalipa intern???! Click to expand... Tanapa walisha sitisha hiyo kitu
zoyler22 said: Nilikua nauliza km nikifanya internship kati ya hizi taasisi 2 kutakua na uwezekano wa kupata ajira zikitoka af pia hua wanalipa intern???! Click to expand... Tanapa walisha sitisha hiyo kitu
Atacms JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 5,341 Reaction score 9,796 Mar 1, 2025 #6 zoyler22 said: Nilikua nauliza km nikifanya internship kati ya hizi taasisi 2 kutakua na uwezekano wa kupata ajira zikitoka af pia hua wanalipa intern???! Click to expand... Kumbe hata kupata bado huja pata dogo? Sasa una wazaje ajira ilihali iyo intern yenyew hujapata
zoyler22 said: Nilikua nauliza km nikifanya internship kati ya hizi taasisi 2 kutakua na uwezekano wa kupata ajira zikitoka af pia hua wanalipa intern???! Click to expand... Kumbe hata kupata bado huja pata dogo? Sasa una wazaje ajira ilihali iyo intern yenyew hujapata
zoyler22 Member Joined Dec 24, 2024 Posts 8 Reaction score 9 Mar 1, 2025 Thread starter #7 Atacms said: Kumbe hata kupata bado huja pata dogo? Sasa una wazaje ajira ilihali iyo intern yenyew hujapata Click to expand... Uhakika wa kupata ninao ndomana nikawa nauliza
Atacms said: Kumbe hata kupata bado huja pata dogo? Sasa una wazaje ajira ilihali iyo intern yenyew hujapata Click to expand... Uhakika wa kupata ninao ndomana nikawa nauliza
zoyler22 Member Joined Dec 24, 2024 Posts 8 Reaction score 9 Mar 1, 2025 Thread starter #8 Detective J said: Tanapa walisha sitisha hiyo kitu Click to expand... Kwamba hawatoi intern ama
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 28,981 Reaction score 51,454 Mar 1, 2025 #9 zoyler22 said: Kwamba hawatoi intern ama Click to expand... Yap
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,588 Mar 1, 2025 #10 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw