Inter Milan wamemtimua kocha wao Claudio Ranieri baada ya kushinda mechi moja kati ya 10 za ligi. Hapa tunajua wazi nani anaenda kuchukua hiyo nafasi: Andre Villas-Boas
conte hawezi timuliwa juventus...jana alionyesha tactical understanding ya hali ya juu...where as ranieri alikuwa kazubaa tuu not knowing wat to do to hell his side.
kocha wa juniour team ndio amechukuwa mikoba