Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,633
- 20,975
•Huko walipofia,kwa nini hawakuwachimbia waamiaji haramu wenzao mpaka wawa peleke mto.
•Nadhani ilikuwa ni rahisi zaidi kuwazika kuliko kuwatupia mto ruvu huku wakiwa wamefungiwa vitu vizito.
•kumfungia maiti ndani ya Rambo na kuishona juu yake / inaonyesha picha gani?...
•possibly lilikuwa jambo la harakaharaka sana....
•je watu ambao ndio ndugu zao walifariki(wahamiaji haramu) wangekukuwa na uharaka huo kwa lipi wakati wapo porini mafichoni.
[HASHTAG]#Ongezea[/HASHTAG] inteligency za kina jinsi udhaniavyo...
•Nadhani ilikuwa ni rahisi zaidi kuwazika kuliko kuwatupia mto ruvu huku wakiwa wamefungiwa vitu vizito.
•kumfungia maiti ndani ya Rambo na kuishona juu yake / inaonyesha picha gani?...
•possibly lilikuwa jambo la harakaharaka sana....
•je watu ambao ndio ndugu zao walifariki(wahamiaji haramu) wangekukuwa na uharaka huo kwa lipi wakati wapo porini mafichoni.
[HASHTAG]#Ongezea[/HASHTAG] inteligency za kina jinsi udhaniavyo...