Mmetumia bil 7,mnashindwa kuforce kuwapata hao wachezaji?Habari wadau....Hawa Azam fc walichukulia poa sana CAF champions league mapema tu wamerudi nyumbani, ikiwapendeza sisi Simba watupe Feisal na sillah kwakuwa hata kwenye ligi msimu huu watashika nafasi ya tatu tunashida na hao watu wawili tu kutoka kwao. Nawapa pole wanarudi kinyonge sana
Hawakuzipangilia vizuri huko YouTube na Whatsapp, hii timu pia haiko tayari kushaurika,Mmetumia bil 7,mnashindwa kuforce kuwapata hao wachezaji?
Ndio mtoe hela,hamna mchezaji hasiye uzwa fuateni utaratibu na mtoe hela.Tunawataka na hao pia
Hiyo mchezo majina ya wachezaji watakao shiriki pamoja na vilabu watakavyo vitumikia hupelekwa CAF hiyo michuano siyo ya ndondo cupHabari wadau....Hawa Azam fc walichukulia poa sana CAF champions league mapema tu wamerudi nyumbani, ikiwapendeza sisi Simba watupe Feisal na sillah kwakuwa hata kwenye ligi msimu huu watashika nafasi ya tatu tunashida na hao watu wawili tu kutoka kwao. Nawapa pole wanarudi kinyonge sana