jikuTech
JF-Expert Member
- Apr 9, 2023
- 228
- 290
PROGRAMMING
Nilikueleza kwamba tutajifunza zaidi kuhusu teknolojia ya kompyuta katika Tehama ndio lengo na madhumuni ukiwa mdau wa Jiku Tech Tips.Tujikumbushe maana ya kompyuta ..... Kompyuta ni kifaa cha kielektroniki ambacho huchukua taarifa/maagizo kutoka kwa mtumiaji na kuchakata taarifa / maagizo hayo chini ya udhibiti wa mipangilio ya maelezo maalum (inayoitwa programu) na kutoa matokeo (pato) na kutunza matokeo hayo kwa matumizi ya siku zijazo
Chini ya udhibiti wa mipangilio ya maelezo maalum. Kauli hii ndio imebeba kipengele cha programming katika teknolojia ya compyuta na ndio hasa tutajifunza mambo mengi ndani ya kauli hii. View 09
Bonyeza HAPA Ingia kwenye mafunzo haya, Ujifunze moja kwa moja