Mnaoweka matangazo ya biashara ya aina hii mnakosea Sana, humu kuna watu wanapita kusoma tu na sio members wa jf..hivyo mnapoacha kuweka mawasiliano wanawapataje? Otherwise Kama biashara yako unalenga kuwapata members wa jf pekee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.