I see umefanya nicheke sana , hujasema inachukia mayai mangapi wala kueleza imetengenezwa wapi na ni used au bland new. Kwa mtindo huu hutapata mnunuzi.
Watanzania wauaji sana yaani kidude cha dollar 48 unawauzia wenzako 300000?
Kitu ambacho pamoja na usafiri ni 150,000
Kwanini utake faida kubwa hivo ndugu?