Inawezekanaje mkandarasi atoroke baada ya kupewa bilioni 22 kama si ufisadi ?

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171
Nasoma kwa mshangao, gazeti la Daily News, pg 1.

Eti mkandarasi aitwae STRADA International ya Uingereza, imetoroka baada ya kupewa bilioni 22 kwa ajili ya mradi wa barabara Mirerani.

Kwa taratibu za ujenzi na TANROADS, mkandarasi hawezi pewa fedha zote hizo bila Bank Bonds!

Sasa je Mwingereza huyu hakuwa na Bank Bonds hizo?
Sasa alipewaje kazi?
I smell a rat!
 
Kuna mchezo mchafu upo nyuma ya pazia. Binafsi nilimskia meneja mkuu wa Tanroads akiyasema hayo kwenye taarifa ya habari usiku wa jana nikashtuka sana.

Nimebaki najiuliza ilikiuaje kampuni kama hii ikaweza kupewa malipo yote au malipo makubwa kiasi hicho pasipo kukamilisha kazi yake?

Nilidhani kwamba baada ya kuingia mkataba na mkandarasi huwa inafanyika initial payments kwanza alafu malipo mengine yatafata kulingana na utekelezaji/mwenendo wa kazi au mawazo yangu sio sahihi?

Nahisi kama kuna watu walimba 10% zao hii itakuja kuwaumbua.
Time will tell tuwe wapole.
 
Kuna mchezo mchafu upo nyuma ya pazia. Binafsi nilimskia meneja mkuu wa Tanroads akiyasema hayo kwenye taarifa ya habari usiku wa jana nikashtuka sana.

Nimebaki najiuliza ilikiuaje kampuni kama hii ikaweza kupewa malipo yote au malipo makubwa kiasi hicho pasipo kukamilisha kazi yake?

Nilidhani kwamba baada ya kuingia mkataba na mkandarasi huwa inafanyika initial payments kwanza alafu malipo mengine yatafata kulingana na utekelezaji/mwenendo wa kazi au mawazo yangu sio sahihi?

Nahisi kama kuna watu walimba 10% zao hii itakuja kuwaumbua.
Time will tell tuwe wapole.
Hata mimi nafikiri hilo nd issue.
Mikataba ya ujenzi mara zote mkandarasi hapewi fedha bila dhamana ya Benki.
Na hapo ni baada ya TANROADS kjiridhisha kuwa mkandarasi huyo sio feki.
Je haya yote hayakutimizwa?
Na hizo fedha (hata kwa bank transfers) unaweza kutrace zimeishia wapi.
Watu wamekula!!
 
Kuna mchezo mchafu upo nyuma ya pazia. Binafsi nilimskia meneja mkuu wa Tanroads akiyasema hayo kwenye taarifa ya habari usiku wa jana nikashtuka sana.

Nimebaki najiuliza ilikiuaje kampuni kama hii ikaweza kupewa malipo yote au malipo makubwa kiasi hicho pasipo kukamilisha kazi yake?

Nilidhani kwamba baada ya kuingia mkataba na mkandarasi huwa inafanyika initial payments kwanza alafu malipo mengine yatafata kulingana na utekelezaji/mwenendo wa kazi au mawazo yangu sio sahihi?

Nahisi kama kuna watu walimba 10% zao hii itakuja kuwaumbua.
Time will tell tuwe wapole.
Hii hela ni ndefu, haiwezi kuwa imeishia TANROADS kulalamika tu.
 
Duh kampuni inakimbiaje na hela zote hizo??
Hio kampuni haina assets zozote duniani kama majengo ya makao makuu n.k ili na sisi tuvishikilie kama walivyoshika bombardier zetu
 
Kuna watu wanazusha tuhuma kwa makampuni makini ili kandalasi ziende kwenye makampuni ambayo wana hisa! Ni kuiba kwa style ya wazabuni! Hakuna atakaejua unafanya biashara na serikali! Kimya kimya!
 
Nasoma kwa mshangao, gazeri la Daily News, pg 1.

Eti mkandarasi aitwae STRADA International ya Uingereza, imetoroka baada ya kupewa bilioni 22 kwa ajili ya mradi wa barabara Mirerani.

Kwa taratibu za ujenzi na TANROADS, mkandarasi hawezi pewa fedha zote hizo bila Bank Bonds!

Sasa je Mwingereza huyu hakuwa na Bank Bonds hizo?
Sasa alipewaje kazi?
I smell a rat!
Kwani mikataba wanayopewa hawa wakandarasi haina vifungu vya kushughulikia matukio kama haya? Wamechukua hatua gani hao Tanroads. Kama wanalalamika tu ujue nao wanahusika kutupiga.
 
Mashahihisho kidogo: Sio bank bonds bali ni Bank Guarantee. Zaidi ya hapo swali lako ni zuri maana bank gurantee hutumika kama dhamana ambapo mkandarasi akishindwa au kufanya kazi chini ya kiwango, benki iliyotoa gurantee inaweza kudaiwa kulipa fidia kwaniaba ya mkandarasi.
 
Nasoma kwa mshangao, gazeri la Daily News, pg 1.

Eti mkandarasi aitwae STRADA International ya Uingereza, imetoroka baada ya kupewa bilioni 22 kwa ajili ya mradi wa barabara Mirerani.

Kwa taratibu za ujenzi na TANROADS, mkandarasi hawezi pewa fedha zote hizo bila Bank Bonds!

Sasa je Mwingereza huyu hakuwa na Bank Bonds hizo?
Sasa alipewaje kazi?
I smell a rat!
Si mlipoke za bukoba mkala,kwanini nao wasile zenu
 
Hata mimi nafikiri hilo nd issue.
Mikataba ya ujenzi mara zote mkandarasi hapewi fedha bila dhamana ya Benki.
Na hapo ni baada ya TANROADS kjiridhisha kuwa mkandarasi huyo sio feki.
Je haya yote hayakutimizwa?
Na hizo fedha (hata kwa bank transfers) unaweza kutrace zimeishia wapi.
Watu wamekula!!
Na kwa kuwa Tanroad ni ya mfugale,na mfugale ni mtoto mpendwa,anayempenda mtoto alijifanya hakusikia

Nadhani sehemu ya pesa hizi zilitumika kwenye kampeni ya kichwa,ndio maana kuhofia bunge kuhoji,akatoa hela ingine haraka kufidia ile ya kampeni

Pili unaweza kukuta ile ni kampuni feki(ya mfukoni)na wala si ya uingereza,kama ni ya uingereza ni rahisi kufanya search na kuwajua wamiliki

Katika wizara chafu,mojawapo ni ya ujenzi,bahati nzuri watanzania ni wajinga,na wanasiasa wa ccm wanapitia katika ujinga huo

Sasa kama mkandarasi wa kwanza ilikuwa ajenge kwa bilioni 22,kwa nini huyu ajenge kwa bilioni 36?

Kwa nini barabara moja ijengwe kwa bilioni 56,malipo Mara mbili mbili?

Barabara ya bagamoyo,malipo Mara mbili

Mv Dar

Ucheleweshaji malipo ili riba ipigwe cha juu

Kupungunza upana wa barabara kwa malipo yaleyale
 
This is becoming too much, hawa makandarasi wa nje sasa iwe ni standard procedure ku-surrender passport zao kabla ya kupewa mradi.
 
Mashahihisho kidogo: Sio bank bonds bali ni Bank Guarantee. Zaidi ya hapo swali lako ni zuri maana bank gurantee hutumika kama dhamana ambapo mkandarasi akishindwa au kufanya kazi chini ya kiwango, benki iliyotoa gurantee inaweza kudaiwa kulipa fidia kwaniaba ya mkandarasi.
Hapa kuna mchezo mchafu na muhusika anajulikana
 
This is becoming too much, hawa makandarasi wa nje sasa iwe ni standard procedure ku-surrender passport zao kabla ya kupewa mradi.
Tatizo ni wizara ya ujenzi na tanroad,ndio maana watu wanahoji hii wizara ilikuwa chini ya nani?huyu anayejifanya msafi sasa hivi?

Mkandarasi huwa hapewi hela zote!
 
Back
Top Bottom