Inawezekanaje!!! Chupi za upako??

Inawezekanaje!!! Chupi za upako??

ntulinkisah

Member
Joined
Jan 27, 2020
Posts
49
Reaction score
28
Shalom..

Ni mambo yakushangaza sana jamani katika pita zangu nikaona chupi za upako zina picha kabisa ya mtumishi... nmeshangaa sana nikajiuliza inawezekanaje mambo haya..... ina maana watu tumefikia hatua hii ya kumchezea Mungu kiasi hichi??? Inawezekanaje nguvu ya Mungu kukaa katika chupi hivi mbona watu tumejaa masihara kiasi hichi hakika tunamchezea uyu Mungu yaan tunamfanya kua ni kitu kidogo kiasi hichi ........tufike mahaki tuyakatae mambo aya ....tuutafute ufalme wa Mungu na haki yake na sio vitu hivi vyepesi vyepesi tu
IMG_20200221_164849_528.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishangaa ya mafuta utaona ya chupi za upako
 
Nasikia wadangaji ndiyo vazi lao jipya! Kwamba mwanamke akiivaa madanga kama yote yanajaa kwake.
 
Chupi za upako, au chupi za huyo anayejiita mtumishi?
 
Sasa Mungu anaingiaje hapo, kuna picha yake kwenye hilo vazi?

Upako ni kitu gani kwanza?
Nguo inapicha ya mjasiriamali wewe unasema inamdhalilisha Mungu, kwa namna gani?

Ikiwa huyo jamaa kwenye picha ndio mungu wao hilo ni jambo lingine kwa kuwa mungu sio kitu kimoja kwa watu wote na kwa wakati mmoja.
 
Fursa inapotokea itumie....uoga wako ndio umasikini wako....
 
Back
Top Bottom