Ni kweli inawezekana mkakutana hapa Jf mkaanza mahusiano na mkiwa na malengo Mungu huwa pamoja nanyi na hatimae kuwa mke na mume. Hivyo wale ambao wapo kwa ajili ya ku buy time poa endeleeni tu sie tunakutana Pm kisha kimya kimya tunapoteleaaaaa
Haa kumbe mi nmekaa tu km zoba kumbe humu watu wanakutana pm wanaenda zao hahahaaa..kumbe hili ni jengo la makutanio ya wanaoendana eti hahahaaa dah mi kweli nimechelewa.