Inawezekana chotara akatawala taifa la Africa?

Nguva Jike

JF-Expert Member
Jan 22, 2018
1,063
1,375
Habari za mchana ndugu zangu wa JF.

Leo nimewaza sana kuhusu demokrasia ya kuchagua au kuchaguliwa katika bara letu zuri la Africa ninalolipenda sana.

Katika muingiliano wa uchanganyaji wa damu za kiafrika na wenzetu weupe kama vile wachina,wajerumani,waarabu,wahindi,waingereza na wengineo kunatokea hawa machotara ama halfcasts.

Mfano mchina akizaa na msambaa au mchagaa yule mtoto anakulia hapa Tanzania anasoma vizuri je ipo siku akiwa raia safi akaaminika tukamchagua akawa Raisi au makamu au PM?

Nawaza anaweza akaleta maendeleo Tanzania siku moja miaka ijayo ikawa kama China au America.

Toa maoni yako kistarabu karibu.
 
Botswana khama family wametawala sana na ndio walioleta maendeleo unayosikia Leo
Madagascar yupo chotara anafanya kazi kubwa sana
Mauritius kote huko wapo
Imebaki hapa kwetu TU na ubaguzi tulio nao sijui kama itatokea ila tungepata Mjerumani mmoja akatuongoza angalau kwa miaka 10 nchi ingefunguka
 
Ian khama
Vice president 1998-2008
President 2008-2018
 

Attachments

  • Screenshot_20240516-130703.jpg
    Screenshot_20240516-130703.jpg
    137.3 KB · Views: 1
Habari za mchana ndugu zangu wa JF.

Leo nimewaza sana kuhusu demokrasia ya kuchagua au kuchaguliwa katika bara letu zuri la Africa ninalolipenda sana.

Katika muingiliano wa uchanganyaji wa damu za kiafrika na wenzetu weupe kama vile wachina,wajerumani,waarabu,wahindi,waingereza na wengineo kunatokea hawa machotara ama halfcasts.

Mfano mchina akizaa na msambaa au mchagaa yule mtoto anakulia hapa Tanzania anasoma vizuri je ipo siku akiwa raia safi akaaminika tukamchagua akawa Raisi au makamu au PM?

Nawaza anaweza akaleta maendeleo Tanzania siku moja miaka ijayo ikawa kama China au America.

Toa maoni yako kistarabu karibu.
Mbona hilo suala tayari limeshatokea mda mrefu sana na linazidi kutokea...
Tuanze na

TANZANIA
Kwa upande wa Visiwani, karibia nusu ya watu wa Zanzibar ni washirazi,ambao ni matokeo ya kuzaliana kati ya wabara na waarabu wa Oman.
Ambapo mpaka sasa inasadikika kuwa Rais wetu kuna upande mmojawapo wa wazazi wake ni una asili ya Oman.

SUDAN
Sudan ni moja kati ya nchi ambazo zimeathiriwa na kuzaliana baina waarabu.Kanakwamba kwasasa wana kizazi karibia cha 4 cha machotara.

LIBERIA
Rais Ellen Johnson Sirleaf alikuwa zao la uchotora, kwani mama yake alikuwa ana asili ya Ujerumani.

BOTSWANA
Ian Khama,ambaye alikuwa Rais wa ujeruman,mama yake ni mzungu wenye asili ya Uingereza.

MAURITANIA
Hii nchi inaundwa na vizazi vya machotara ambao waliyokana na waarabu wa karne ya 8 kuzaliana na waafrika weusi...
Ni mda mrefu sasa umepita kankwamba hao machotara wakaunda makabila yao...

Pitia asili ya makabila mengi ya makabila yaliyo juu ya jangwa la SAHARA, utagundua ni zao la machotara katika kipindi cha Dola ya kiislam.
 
Mbona hilo suala tayari limeshatokea mda mrefu sana na linazidi kutokea...
Tuanze na

TANZANIA
Kwa upande wa Visiwani, karibia nusu ya watu wa Zanzibar ni washirazi,ambao ni matokeo ya kuzaliana kati ya wabara na waarabu wa Oman.
Ambapo mpaka sasa inasadikika kuwa Rais wetu kuna upande mmojawapo wa wazazi wake ni una asili ya Oman.

SUDAN
Sudan ni moja kati ya nchi ambazo zimeathiriwa na kuzaliana baina waarabu.Kanakwamba kwasasa wana kizazi karibia cha 4 cha machotara.

LIBERIA
Rais Ellen Johnson Sirleaf alikuwa zao la uchotora, kwani mama yake alikuwa ana asili ya Ujerumani.

BOTSWANA
Ian Khama,ambaye alikuwa Rais wa ujeruman,mama yake ni mzungu wenye asili ya Uingereza.

MAURITANIA
Hii nchi inaundwa na vizazi vya machotara ambao waliyokana na waarabu wa karne ya 8 kuzaliana na waafrika weusi...
Ni mda mrefu sasa umepita kankwamba hao machotara wakaunda makabila yao...

Pitia asili ya makabila mengi ya makabila yaliyo juu ya jangwa la SAHARA, utagundua ni zao la machotara katika kipindi cha Dola ya kiislam.
Nimefurahia sana uchambuzi wako sikuwahi kujua kwa upana hivi zaidi ya Obama tu kuwa ana elements za Uafrica
 
Tanzania hata beki tatu anaweza kutawala tu, imagine sasa tunatawaliwa na picha tu ya Rais tena mwanamke..... yupo kuzurula huku na kule na hakuna anayekohoa.
 
Habari za mchana ndugu zangu wa JF.

Leo nimewaza sana kuhusu demokrasia ya kuchagua au kuchaguliwa katika bara letu zuri la Africa ninalolipenda sana.

Katika muingiliano wa uchanganyaji wa damu za kiafrika na wenzetu weupe kama vile wachina,wajerumani,waarabu,wahindi,waingereza na wengineo kunatokea hawa machotara ama halfcasts.

Mfano mchina akizaa na msambaa au mchagaa yule mtoto anakulia hapa Tanzania anasoma vizuri je ipo siku akiwa raia safi akaaminika tukamchagua akawa Raisi au makamu au PM?

Nawaza anaweza akaleta maendeleo Tanzania siku moja miaka ijayo ikawa kama China au America.

Toa maoni yako kistarabu karibu.
Yes ghana na botswana mbona imetokea
 
Habari za mchana ndugu zangu wa JF.

Leo nimewaza sana kuhusu demokrasia ya kuchagua au kuchaguliwa katika bara letu zuri la Africa ninalolipenda sana.

Katika muingiliano wa uchanganyaji wa damu za kiafrika na wenzetu weupe kama vile wachina,wajerumani,waarabu,wahindi,waingereza na wengineo kunatokea hawa machotara ama halfcasts.

Mfano mchina akizaa na msambaa au mchagaa yule mtoto anakulia hapa Tanzania anasoma vizuri je ipo siku akiwa raia safi akaaminika tukamchagua akawa Raisi au makamu au PM?

Nawaza anaweza akaleta maendeleo Tanzania siku moja miaka ijayo ikawa kama China au America.

Toa maoni yako kistarabu karibu.
Akiishi maisha mazuri na kusoma shule nzuri hatojua shida za Watanzania, hafai kuwa Raisi.
 
kwa Tanzania nafasi ya Urais haipo kwa raia mwenye mzazi mmoja ambaye anautaifa wa nchi nyingine...! na pia unatakiwa kuwa na asili ya utanzania kwa 100%

labda tukiona inafaa tunaweza kuendana na mdundo wa dunia kama tunavyotaka uraia pacha nk...
 
Back
Top Bottom