Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,326
Habari wanasheria?
Katika pitapita zangu leo, nimekuta jambo likijadiliwa mahali. Kwamba kuna waajiri wanaweza kukulipia NSSF lakini wasilipe kodi (PAYEE). Nikajiuiza jambo hili linawezekana vipi?
Kwahiyo basi nikataka kujuzwa, kwamba ni kweli hili jambo linawezekana? Na kwa wale wanaopewa ajira bila mikataba, unawezaje kutrace kama mwajiri analipa kodi ya PAYEE! Mfano,, mtu ameambiwa tutakulipa laki tano (Net salary), unawezaje kujua mwajiri analipa kodi ya PAYEE?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika pitapita zangu leo, nimekuta jambo likijadiliwa mahali. Kwamba kuna waajiri wanaweza kukulipia NSSF lakini wasilipe kodi (PAYEE). Nikajiuiza jambo hili linawezekana vipi?
Kwahiyo basi nikataka kujuzwa, kwamba ni kweli hili jambo linawezekana? Na kwa wale wanaopewa ajira bila mikataba, unawezaje kutrace kama mwajiri analipa kodi ya PAYEE! Mfano,, mtu ameambiwa tutakulipa laki tano (Net salary), unawezaje kujua mwajiri analipa kodi ya PAYEE?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app