Nilitaka nikomenti Ila nikawaza Hawa vijana Wa fomu tuu waliofunga shule wakaja kwa shemeji zao Dar wakirudi Skonga huko namabengo watarudiana tu ni upepo tu wa mafua Ila nikaona Haina maana wacha ni kaushe....
Bro unaingia form sirii huku utakuja kuandika ese ili ueleweke haya mambo ya mension sijui nn yameishia hapo fomu tuu.