Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,550
Nilikosa usingizi mkuu.JF usiku Wa Mananeerr..!
Nimekusoma mkuuDahhhh....!!
Kwanza nikupe pole kwa changamoto unayo pitia.
Pili nakushauri tu kwamba, do not take Jf so serious.
Na mwisho nikukisowe kwa uandishi wako wa kibabe, wenye kupoteza contents nzima ya kile unacho kilenga hasa.
Kumbuka tu hawa viumbe ili uwanase inahitaji akili na sio nguvu.
Mwisho kabisa niseme tu kwamba huu mchezo hauhitaji hasira, and all the best.
Kweli kbsaa missUpendo haulazimishwi
Vpi mlevi?Duuh
Hata Mimi naona maana hayana response nzuri hata kdgoJf majike wachache sana.... Wengi madume yanatumia id za kike
Cjapanik niko poa kisaikolojia, na kijamii pia.Umepanic mkuu
Asante kwa ushauri .....na ndo nmeamua kuachana nao.Acha kujipa 100% eti ukitaka demu humu umpate tu kuzembe we komaa tu na wa huko mtaan
Muda umeshaisha nshafanya maamuzi mengine.Mbona sijaona uzi wako mzee baba..nitag nikajipime vigezo
Nilibadilisha sifa na bado nikakosa....huwezi amini.Kwa zile sifa labda ungetengeneza wako
Jaribu kuwacheki PM Mkuu..Nilikosa usingizi mkuu.