Inasikitisha sana maji machafu MUWASA

Inasikitisha sana maji machafu MUWASA

Nick

Member
Joined
May 18, 2009
Posts
55
Reaction score
7
Inasikitisha sana wiki ya tano sasa maji ya Moshi UWASA sio salama kwa afya wala kutumika kwa matumizi ya nyumbani. Nimejaribu kufuatilia bila jibu. Maji yanatoka kwenye bomba yakiwa na tope. Mwenye kujua ni nini chanzo atujulishe maana wengi wetu tumeadhirika
 
Back
Top Bottom