Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,261 Reaction score 72,421 Aug 7, 2019 #2 ACHA IMKOSHE TU, KWANI KUNA SHIDA GANI
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 54,932 Reaction score 53,953 Aug 7, 2019 #3 Naye kainama
Opera Min JF-Expert Member Joined Nov 28, 2013 Posts 890 Reaction score 659 Aug 7, 2019 Thread starter #4 Mtoto halali na hela said: Naye kainama Click to expand... Kapinda mugongo
Papi Chulo JF-Expert Member Joined Jun 8, 2018 Posts 6,260 Reaction score 7,397 Aug 7, 2019 #5 Mambo yake hayo...yule jamaa ni bishoo kinyama yaani!!!
Scorpio Me JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 6,119 Reaction score 7,952 Aug 7, 2019 #7 Mr. MTUI said: Fake Click to expand... Nenda insta kwenye acc yake utaona kapost kwenye stories pale juu
Mr. MTUI said: Fake Click to expand... Nenda insta kwenye acc yake utaona kapost kwenye stories pale juu
H Hziyech22 JF-Expert Member Joined Jun 8, 2019 Posts 18,286 Reaction score 26,124 Aug 8, 2019 #8 Ndio ngoma ambayo imepata vipengele vingi kwenye tuzo za Afrimma song of the year,video of the year lakini pia imempa diamond nafasi ya kuwania artist of the year na best male in east africa.big up to him
Ndio ngoma ambayo imepata vipengele vingi kwenye tuzo za Afrimma song of the year,video of the year lakini pia imempa diamond nafasi ya kuwania artist of the year na best male in east africa.big up to him
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,909 Reaction score 193,846 Aug 8, 2019 #9 Ngoja tuone... Cc: mahondaw