TzComedy
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 890
- 700
Ni tabia ya wanawake wengi waliopo kwenye ndoa kukomba kila haina ya kipodozi kupaka mwilini pindi aendapo sokoni, na ikibainika kuwa aina ya kipodozi fulani yeye hana na kipo kwa mpangaji wa jirani nae ladhima ahakikishe anakipata kwa ghalama yoyote ile.
Eidha yupo tayali hata kwenda nyumba jirani kuazima Dera kwa wale wanaopenda kujisitiri kidogo na kwa wale wanaopenda wakivaa miili yao ijichore kila kiuongo kilichopo mwilini humo Papuchi ikiwemo wapo tayali pia wakaazime nguo za aina hiyo.
Sasa yote 9, kumi wawapo kwenye kioo, laiti kioo kingekuwa kinaongea, ladhima kingetamka "Yapaswa ujue wewe ni mke wa mtu na unachokifanya kama ungekifanya kwa maandalizi ya kumsubiri mumeo akirudi kazini akukute uko hali hiyo, walahi asingewaza kuku cheat lkn kwa vile unawadha kwenda kuonekana na Mafisi uko uendako mumea kila siku atakuona we ni wakawaida tu".
Hajabu iliyoje, hawahawa wanapokuwa nyumbani wakiwasubiri waume zao wapokee eidha zawadi mbalimbali wanakuwa Roughly, wananuka kwapa, wananuka moshi, wananuka Domo, wanuka Papuchi na muda mungine wananuka hata tigo zao, shuwaini hawa. Wanawake mliopo kwenye ndoa badilikeni katika hilo, ndoa sio jambo dogo jamani.
Eidha yupo tayali hata kwenda nyumba jirani kuazima Dera kwa wale wanaopenda kujisitiri kidogo na kwa wale wanaopenda wakivaa miili yao ijichore kila kiuongo kilichopo mwilini humo Papuchi ikiwemo wapo tayali pia wakaazime nguo za aina hiyo.
Sasa yote 9, kumi wawapo kwenye kioo, laiti kioo kingekuwa kinaongea, ladhima kingetamka "Yapaswa ujue wewe ni mke wa mtu na unachokifanya kama ungekifanya kwa maandalizi ya kumsubiri mumeo akirudi kazini akukute uko hali hiyo, walahi asingewaza kuku cheat lkn kwa vile unawadha kwenda kuonekana na Mafisi uko uendako mumea kila siku atakuona we ni wakawaida tu".
Hajabu iliyoje, hawahawa wanapokuwa nyumbani wakiwasubiri waume zao wapokee eidha zawadi mbalimbali wanakuwa Roughly, wananuka kwapa, wananuka moshi, wananuka Domo, wanuka Papuchi na muda mungine wananuka hata tigo zao, shuwaini hawa. Wanawake mliopo kwenye ndoa badilikeni katika hilo, ndoa sio jambo dogo jamani.