Hilo suala nasikiavyo limewasambaratisha akina Mchemba na kuwafanya waweke vikao hadi usiku kutafuta namna ya kumpiku kipenzi hiki cha Watanzania wanaodhulumiwa.
Vikao, mikakati, propaganda na namna yoyote ile haitasaidia. Msingi wa kuwashawishi wananchi ni utatuzi wa kero zao, kitu ambacho CCM walishajitenga nacho siku nyingi! hivyo tegemeo pekee la wananchi ni viongozi wa CHADEMA.
Hilo suala nasikiavyo limewasambaratisha akina Mchemba na kuwafanya waweke vikao hadi usiku kutafuta namna ya kumpiku kipenzi hiki cha Watanzania wanaodhulumiwa.