Inakuwaje hii? Pamoja na matusi mengi ya CCM dhidi ya Slaa, bado alipokelewa kishujaa?

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234
Hilo suala nasikiavyo limewasambaratisha akina Mchemba na kuwafanya waweke vikao hadi usiku kutafuta namna ya kumpiku kipenzi hiki cha Watanzania wanaodhulumiwa.
 
Vikao, mikakati, propaganda na namna yoyote ile haitasaidia. Msingi wa kuwashawishi wananchi ni utatuzi wa kero zao, kitu ambacho CCM walishajitenga nacho siku nyingi! hivyo tegemeo pekee la wananchi ni viongozi wa CHADEMA.
 
Kwa nn wananchi wasimpokee kipenzi chao dr wa ukweli,huyo KIBURU ajinyonge.
 
slaa anahitajika wiki ya mwisho wa kampeni.azungushwe vijijini,ushindi kwa chadema ni dhahiri sasa.
 
Tofautisha siasa za mtandaoni na za uraini... Usifikiri unachokiona wewe jf kila mtu anakiona hii ni tz mtandao bado sana kwa walio wengi.
 
Wananchi wamesha anza kustukia propaganda chafu za CCM. Jibu ni hilo tu.
 
Hilo suala nasikiavyo limewasambaratisha akina Mchemba na kuwafanya waweke vikao hadi usiku kutafuta namna ya kumpiku kipenzi hiki cha Watanzania wanaodhulumiwa.

Mchemba? Hajui zaidi ya kuwinda wake za viongozi wenzake.
 
msechu akipokelewa kishujaa!!



Kikwete huwa anapokelewa!!

hata angekuwa katoka jela anapokelewa

mafisadi lowassa, chenge, wote walipokelewa kishujaa baada ya matatizo yao!!

what argument are you trying to make here???

Slaa atapendwa tu kwa wafuasi wake!!! thats it normal thats is natural!!

hoja zingine bana
 
Aliyependeza amependeza tu na atapendeka, ukitaka kupendwa kaa karibu nae ujue siri ya kupendwa.
 
hakuna mtu kama dr. jamani, utendaji wake umejidhihirisha tayari kwa wananchi hata isemwe nn bado haitamshusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…