Inahusu mkopo

Nothing like that, usikariri

Sio kweli mkuu inategemea na chuo na course unayosoma serikali inaviwango vyao kama chuo chako kina ada kubwa hata kama umeambiwa unalipiwa asilimia mia inayobakia lazina ulipe mfano hubert kairuki ada zao ni kubwa sana na serikali kozi za afya wanalipa asilimia mia ni kama 2.5M so kiasi kinachobaki unalipa mwenyewe
 
Kama chuo ada ni milion 6.2 program Doctor of Medicine wanakulipia yote? Maana nimeambia dactar analamba asilimia zote
kwa mujibu wa loan board guide for loan allocation mwaka wa masomo 2015/2016 possible ceiling amount yani asilimia mia (100%) kwa kozi za udaktari na afya ni Tsh.2,300,000/=
kwa kozi za uhandisi ni Tsh. 1,500,000/= kwa hiyo kama utapata asilimia 100 serikali itakupa kiwango hicho kwa kozi hizo. kama karo ya chuo chako itazidi kiwango cha mkopo asilimia 100. itabidi ujiongezee kutoka katika vyanzo vyako.
why wa set hiyo amount. kwa sababu wanatumia tution fees za public university kama reference yao kuwaongoza katika viwango. vyuo vyote vya serikali hakuna kinacho toza fees iliyo juu ya 1.5m kwa kozi za uhandisi na hakuna kinacho toza zaidi ya 2.3m kwa masomo ya udaktari
 
Kama chuo ada ni milion 6.2 program Doctor of Medicine wanakulipia yote? Maana nimeambia dactar analamba asilimia zote


Mkuu,hawakupi yote,hiyo nyingine utaongezea.Wao wanakupa possible loanable amount..Kama ada yeni ni milioni 6.2 na possible loanable amount ni 2.6 basi hiyo difference utalipa mwenyewe

Hii pesa haupewi mkononi,inapita juu kwa juu.Wewe utakachoshika ni boom(M$A),Special faculty requirements na books and stationers money
 
we unawaza mkopo kabla hujajua kama utapata?!! au unataka kuweka na bajeti ya viroba.

Dah Umenikumbusha Maisha Ya Chuo.Ilikua Bumu Likitoka Yale Masalia Ya Nyuma Naenda Town Nayanywa Na Hasa Bumu Liwe Limetoka Kipindi Hakuna Test Ndo Chuo Kinafunguliwa.I Will Always Miss The University Life Ha Ha Haa Haa
 

huo ndo ukweli
 

yan we ka unajua umechaguliwa koz non priolity alafu unawaza utapata mkopo xahau kabxa mana labda uwe na fogie vyet vya kfo utaula vngnevo utaxota xna chuo wakat wenzak wakchukua bk 85
 
inategemeana na possible loan ya coz husika eg ukichaguliwa engineering coz max loan yao n 1500000 na ndio asilimia mia so kama ada ya chuo ikizid apo nyingine utaongeza mwenyewe .........................
 

Ahaaaa nimekuelewaaa mkuuuu
 
samahan wakuu nimechaguliwa coz ambayo ni non priorty UDOM (BED-AME) Sina mzazi mmoja na mwingine ni mlemavu hivi mkopo nitapata kweli???
 

Kwa mwaka 2014/2015 kwa koz ya udaktar walipewa 3.1M kama tution fee sasa iyo 2.3M uliosema ndio ya mwaka 2015/2016 au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…