Inahitajika Gari ya Kukodi

Inahitajika Gari ya Kukodi

bizplan

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
592
Reaction score
574
Wadau, inahitaji gari ya kukodi siku ya jmosi tarehe 31/8/2019.

Sifa za Gari.
- Iwe na uwezo wa kubeba kuanzia watu 8
- Iwe katika hali nzuri
- Ikiwa Nissan Elgrand, Toyota Alphard au Nissan Serena ni Bora zaidi.
- Isiwe Toyota Noah ya aina yoyote.

Matumizi
- Ni ndani ya mkoa wa Dar.
- Gari haitatembea zaidi ya km 20 baada ya kukabidhi.
- Muhusika akipenda anaweza kutoa dereva wake kama hana basi yupo dereva wa kuendesha.
- Gari inatakiwa ipatikane saa 2 kamili asb. Na itakadhiwa saa 2 usiku ya siku hiyo hiyo.

Mwenye gari ani-PM ili nimuunganishe na mtu anayehitaji.

Toa ofa yako katika PM na elezea hali ya gari lako.
 
Wadau, inahitaji gari ya kukodi siku ya jmosi tarehe 31/8/2019.

Sifa za Gari.
- Iwe na uwezo wa kubeba kuanzia watu 8
- Iwe katika hali nzuri
- Ikiwa Nissan Elgrand, Toyota Alphard au Nissan Serena ni Bora zaidi.
- Isiwe Toyota Noah ya aina yoyote.

Matumizi
- Ni ndani ya mkoa wa Dar.
- Gari haitatembea zaidi ya km 20 baada ya kukabidhi.
- Muhusika akipenda anaweza kutoa dereva wake kama hana basi yupo dereva wa kuendesha.
- Gari inatakiwa ipatikane saa 2 kamili asb. Na itakadhiwa saa 2 usiku ya siku hiyo hiyo.

Mwenye gari ani-PM ili nimuunganishe na mtu anayehitaji.

Toa ofa yako katika PM na elezea hali ya gari lako.
Tafadhali, mwenye nayo akaribie inbox
 
Back
Top Bottom