Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 86
Lazima ushangae Baba Askofu ...........baaada ya muda ni huyu huyu anakuja kukuomba uwafungishe ndoa na mwenye PICHA! ................miezi miwili baadae anarudi hapa JF ooooooooooooooh mimi ndoa yangu!
Tafuta tiba ndugu yangu sio bure hicho kichwa chako!
Yaani hali hii inatisha... lakini ameambiwa aiweke humu tufanye aidentifikesheni... labda ni mmoja wa waumini wangu...