In anger there is no intelligence.

DSN

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
2,837
Reaction score
1,686
Kuhusu sakata la Richmond, ambalo lilimfanya ajiuzulu uwaziri mkuu, Lowassa alisema tatizo kubwa halikuwa kuhusu mitambo hiyo ya umeme ila uwaziri mkuu. "Ajenda haikuwa kuhusu Richmond, ila uwaziri mkuu ndiyo maana niliwaachia.
Anger against people known to him, unknown to Public.

Lakini jingine tulilojifunza katika ubishi ule umeisababisha nchi hasara ya Dola 120 milioni,"
Anger created to the Public by him.

Hidden anger Against The Cabinet Of United Republic Of Tanzania.

Naamini kuwa kama tungeanza kwa kasi ile tuliyoanza nayo nikiwa waziri mkuu, sasa ningepita napunga mkono ningepata kura zote…
Hidden anger against unfullfilled interest...
lakini kinachonisikitisha tumekuwa hatufanyi maamuzi magumu au rahisi, kila kitu kinakwenda legelege.
Anger of wishes

Anger to go agaisnt his mates.

]"Wakati ule nilisema hilo, waziri mmoja akanishambulia akinipinga akisema takwimu zangu si sahihi na hakuna tatizo, lakini bado mimi naamini kuna tatizo kubwa.
Anger when he is challenged, being out of Power.

Hidden anger ...toward the reaction of the recipient.

Anger against his party policies and Ideology.
]Alipoulizwa kuhusu madai kuwa afya yake inaterereka, alisema anaamini yupo fiti na akashauri wagombea urais wote wakapimwe.
Anger against what the Public comments on his health status..as a public figure who his inteding to run for President Race 2015.

Anger and Fear against other Political parties gaining momentum for the first office house plot position.

Anger against those who speak to all issues related to his health state.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…