Impeachment iwe solution ya mwisho, wabunge anzeni na tume huru ya uchaguzi kwanza!

Kasimba G

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
3,428
2,612
Wana Jamvi!

Wakeup call inayoyakiwa kama wabunge wapo serious na ujenzi chanya wa taifa letu pendwa ni uundwaji wa tume huru ya uchaguzi, asikiae na afahamu!

Wabunge woote pasi na kuangalia itikadi za kisiasa wala milengo yao wala makundi yao, wakomalie suala la katiba especially kurekebisha mambo ya uchaguzi.

Niwahakikishieni wabunge wa CCM hampo safe hata kidogo, je mkija katwa kwenye kinyang'anyiro! manaake mwenyekiti wenu kisha sema mkimaliza kinyang'anyoro majina yatakuja kwake na atakata waliohusika na rushwa nk! sasa hapo kwa dalili zilizowazi inaweza ikawa kukatwa kwa "rushwa" sio rushwa ya kawaida.

Jitafakalini na muanze mchakato huo then mtakuwa safe la si hivyo hamtakuwa mmelitendea haki taifa letu. na mtakuwa hamjamuamsha mkuu na utendaji wake kwani suala kama hilo likitokea inawezekana mkulu akawa kiongozi mzuri tuu maana kujiamini kuwa anaweza badiri matokeo atakavyo kutaisha na itakuwa hapa kazi ya ukweli!

Suala la impeachment linaweza fuatia hapo!

Nawasilisha!
 
Tume ya Uchaguzi kwa wabunge wa CCM ni sawa na kukata mti waliokalia

Hawawezi kuikampenia hoja hiyo

Wanachoweza wao ni kumwajibisha mtendaji mmoja mmoja kama walivyofanya kwa Jairo.

Hili suala la Tume huru linapaswa lipiganiwe na wananchi sio wanasiasa
 
Sababu nina uhakika asilimia 90 ya wabunge wa ccm now hawatarudi bungeni kama sizonje ni rais sababu tu wamepiga kura wote eti mwanae aitwe kuhojiwa
 
Tume ya Uchaguzi kwa wabunge wa CCM ni sawa na kukata mti waliokalia

Hawawezi kuikampenia hoja hiyo

Wanachoweza wao ni kumwajibisha mtendaji mmoja mmoja kama walivyofanya kwa Jairo.

Hili suala la Tume huru linapaswa lipiganiwe na wananchi sio wanasiasa
tusiwaundermine tinaona wanabadirika taratibu kwa utawala huu watakaa sawa tuu
 
Hofu yangu ni yule bibie sijui anaitwa mtulia akikalia kiti,,,,,sitegemei kuona la maana
Ikiwa ndani ya bunge la katiba maiti kupiga kura na walio enda hijjah bila ya wao kujua sitegemei ccm na huyo mama kukubali tume huru ya uchaguzi
 
Wana Jamvi!

Wakeup call inayoyakiwa kama wabunge wapo serious na ujenzi chanya wa taifa letu pendwa ni uundwaji wa tume huru ya uchaguzi, asikiae na afahamu!

Wabunge woote pasi na kuangalia itikadi za kisiasa wala milengo yao wala makundi yao, wakomalie suala la katiba especially kurekebisha mambo ya uchaguzi.

Niwahakikishieni wabunge wa CCM hampo safe hata kidogo, je mkija katwa kwenye kinyang'anyiro! manaake mwenyekiti wenu kisha sema mkimaliza kinyang'anyoro majina yatakuja kwake na atakata waliohusika na rushwa nk! sasa hapo kwa dalili zilizowazi inaweza ikawa kukatwa kwa "rushwa" sio rushwa ya kawaida.

Jitafakalini na muanze mchakato huo then mtakuwa safe la si hivyo hamtakuwa mmelitendea haki taifa letu. na mtakuwa hamjamuamsha mkuu na utendaji wake kwani suala kama hilo likitokea inawezekana mkulu akawa kiongozi mzuri tuu maana kujiamini kuwa anaweza badiri matokeo atakavyo kutaisha na itakuwa hapa kazi ya ukweli!

Suala la impeachment linaweza fuatia hapo!

Nawasilisha!
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda,sidhani kama tuko salama sana kama Watanzania,bila kujali our political affiliation.Hali inatisha.I concur with you, wabunge wetu wana nafasi kubwa ya kutusaidia.
 
Hana uwezo wa kukata Wala rushwa. Kamshindwa Bashite atawaweza watu Wenye Elimu zao?
 
Cha kwanza kabisa Wabunge wamtoe Tulia pale, wakubaliane waweke mpinzani pale.
Baada ya hapo
Wamnyooshe kwa kumtoa Waziri mkuu.....
Upinzani uandae impeachment agenda ambayo ccm wataiunga mkono
 
Jaribu Ku google kujua ugonjwa wa schizophrenia ndipo mtajua ndipo mtajua kumbe hata nyoka unaweza kumvua ziwani
 
Cha kwanza kabisa Wabunge wamtoe Tulia pale, wakubaliane waweke mpinzani pale.
Baada ya hapo
Wamnyooshe kwa kumtoa Waziri mkuu.....
Upinzani uandae impeachment agenda ambayo ccm wataiunga mkono
hilo nalo neno! lakini itakuwa njia ndeefu saana wakati wanaweza short cut
 
Back
Top Bottom