sasa nyie mlitakaje? Kama umewaona wakamate ni jukumu la kila raia kuilinda Tanzania, na la wanyama 116 je? JAIRO na wenzake, Rostam vp? VASCO da Gama suti kwa Rasimali madini, Ardhi nk za nchi, pesa za madeni ya EPA? Mabilioni ya pesa walipwayo wabunge Bungeni kama Posho ikiwa mishahara yao mikubwa na wanaozikusanya kupewa Mishahara ya kutumia isimalize mwezi hadi wanaishi kwa madeni? Sukari, mafuta bei juu na maisha magumu je tunategemea wao waishi kuwakusanyia mafisadi pesa ili wazipeleke Kwenye Kampeni na KUKESHA ANGANI KAMA BUNDI AMA JUMBO JET,FLY EMIRATES kila siku? Hayo imeyaendekeza serikali inayowalipa Usalama wa Taifa Pesa nyingi ikiwa Wanaozikusanya za kuwalipa mishahara mikubwa Usalama wa Taifa ambao kazi yao kubwa kuchakachua matokeo ili kukiwezesha chama magamba kubakia madarakani na wao kulipwa mishahara ya kukosa hata mafuta ya taa jioni kwa mwezi mzima. Kama mzungu ndie kaliwa ulitaka ziliwe zako, mbona wanaokula pesa za wananchi na kutushindisha na kutulaza Njaa hatusemi na kusababisha Mgawo wa giza (TANZAGIZA) Migodi inahodhiwa na wageni sisi kulala njaa tunafurahia, kama vijana wa KIA Kuna wanachokifaidi kweli waache wafaidi wao kwanza sisi Baadae. Haiwezekani akina Riz wakamiliki Mabilioni peke yao na waambata wa jeshi pia. Je zingekomaliwa hizo tukagawana tungepata ngapi ngapi mimi na wewe? Kula uliwe!