McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,167
- 2,328
Wasalaam MMU,
Katika hali ya kutafakari nimeconclude kuwa wanaume linapokuja suala la genye tuko wepesi sana kushawishka.Yaani utashangaa mwanamke unamtokea hata zaidi ya mwaka mashairi yanagonga mwamba.
Ila mwanamke akukivalia njuga hakiya nani hukatizi mwezi hataki kama mgumu kias gani, utashangaa hata kama bidada hajakuvutia unaamua kuweka jina. Worse enough hata tuhousegirl tuchaftuchafu unakuta ndio tunakuwa mcharo aisee.
Sasa nikawa najiuliza, hivi kama wanawake nao wangekuwa kama sisi wanaume, hii dunia ingekalika kweli? Pamoja na hayo kuna wanaume wako ngangari, iron faces especially washika dini sana(%ndogo sana).
Katika hali ya kutafakari nimeconclude kuwa wanaume linapokuja suala la genye tuko wepesi sana kushawishka.Yaani utashangaa mwanamke unamtokea hata zaidi ya mwaka mashairi yanagonga mwamba.
Ila mwanamke akukivalia njuga hakiya nani hukatizi mwezi hataki kama mgumu kias gani, utashangaa hata kama bidada hajakuvutia unaamua kuweka jina. Worse enough hata tuhousegirl tuchaftuchafu unakuta ndio tunakuwa mcharo aisee.
Sasa nikawa najiuliza, hivi kama wanawake nao wangekuwa kama sisi wanaume, hii dunia ingekalika kweli? Pamoja na hayo kuna wanaume wako ngangari, iron faces especially washika dini sana(%ndogo sana).