Wakuu
kiukweli hii hali imepanda ghafla na imekuwa common yaani kila simu ukipokea ya kuombwa pesa mara nyingi kutoka kwa wanawake na wanaume wachache hakika hujipangia kiwango na huitaji watumiwe 20000 kwa mpesa, tigo pesa nk
Hivi hawa viumbe huambizana na kujipangia bei ambayo iwe inatumiwa na asilimia kubwa miongoni mwao?
inamaana hawaioni 5000, 10000 ,12000 na 15000 yaani hadi waseme 20000 na ya kutolea?
sijui nani alianzisha na kueneza mzinga wa 20000. hii ni miongoni mwa sababu zinazoishusha pesa yetu thamani, kwani kunaifanya 20000 kuwa kama pesa ya vocha tu na kuitoa kama buku
mbadilike ninyi wapiga mizinga
cc wanawake wa Dar
kiukweli hii hali imepanda ghafla na imekuwa common yaani kila simu ukipokea ya kuombwa pesa mara nyingi kutoka kwa wanawake na wanaume wachache hakika hujipangia kiwango na huitaji watumiwe 20000 kwa mpesa, tigo pesa nk
Hivi hawa viumbe huambizana na kujipangia bei ambayo iwe inatumiwa na asilimia kubwa miongoni mwao?
inamaana hawaioni 5000, 10000 ,12000 na 15000 yaani hadi waseme 20000 na ya kutolea?
sijui nani alianzisha na kueneza mzinga wa 20000. hii ni miongoni mwa sababu zinazoishusha pesa yetu thamani, kwani kunaifanya 20000 kuwa kama pesa ya vocha tu na kuitoa kama buku
mbadilike ninyi wapiga mizinga
cc wanawake wa Dar