Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Mwee!hiyo ndio kali kuliko yani kwenye pati usingeniambie alafu nikaona ningewapiga picha kwaningepata mshangao wa mwaka!sasa ni mila au ni maauzi tu?Una haraka, ukikua utajua.
By the way huku kwetu Umang'atini khanga ni heshima, unaenda nayo hata kwenye pati
Hari zenu wakuu, hii ishu mwenzenu inanipa tabu kidogo yani nashindwa kuzoea na kutoishangaa,kuna mbaba mtu mzima tu mwenye familia yani akirudi tu kutoka kazin au akiwa kwake mda wote anakuwa amefunga kitenge au kanga,anatoka nayo na kukaa kibarazani,huwa namshangaa sana anaweza akatoka mpaka anamsindikiza mgeni hivyohivyo,sasa kuna mkaka kahamia kwetu naye tangu amekuja ni mwendo wa kanga au kitenge japo anakuwa amevaa pensi,na ninamshangaa zaidi huyu coz ni bonge la brazamen,wadau mie mshamba hebu nisaidien imekaaje hii kwa wakaka/wababa,hata kwa wadada pia nyie mnaonaje,na wadada wakubwa wenye ndoa zao hii kwa waume zenu mnaiona imekaaje,nawasilisha.
Hee,asante mwaya mie mshamba cyajui hayo!vp kwa mtu ambaye hajaoa na anaishi bachela?Nadhani haina shida coz kwa wengi huwa wanapenda kuwaonyesha wake zao kama wanawapenda na wanathamini mavazi yao..kiufupi ni kuonyesha upendo kwa mkeo!!
Acha hizo IGWE,Labda km nikimzoea coz bado mgeni,ndio maana nimepata butwaa na kuja kuuliza hapa kabla sijauliza live!,kwann ww unaionaje hiyo style?Haya sasa_sijui kama huyu bonge la brazamen atapona mitego yako,.....anyway hebu muulize huyo brazamen wa hapo kwenu anamaanisha nini?....i am sure atakuambia ukweli
Acha hizo IGWE,Labda km nikimzoea coz bado mgeni,ndio maana nimepata butwaa na kuja kuuliza hapa kabla sijauliza live!,kwann ww unaionaje hiyo style?
Bora hiyo ya kuwa rum watu hawaon,na inawezekana wengi wanavaa,je kabla ya kuoa ulikuwa unavaa?unaonaje ukitoka nayo mpaka kibarazani au kusindikiza mgeni?hata mie navaa sana khanga nikiwa room na wife ila sijafikia kiwango cha kutoka nayo nje. hata mimi nilikuwa namshangaa mzee wangu hata yeye alikuwa akivaa mpaka sebuleni hasa jioni anashinda nayo. nashangaa sasa hivi nimeshazoea. nadhani ni vazi rahisi kulivaa ndo maana inakuwa rahisi
Nunua bwana si zipo madukani?then lipuka nayo mpaka dukani kwa mangi alafu nipe feedback,so kwa anayevaa na hajaoa anakuwa kapewa na mpnz wake?Mimi naiona fresh_sema sina wa kunipa hiyo kanga,...siku nikipata ntaivaa ili nione wale masister du wa mama mwenye nyumba wata-respond vip_halafu ntakuambia...au unasemaje!
Kanga tumezoea ni kwaajili ya jinsia ya kike, sasa binafsi kumuona mababa/mkaka anavaa nimepata mshangao,vp kwenu huko imekaaje au ni vazi kwa wote?Kwani kanga ni nini cantalisia
Du! tea time? hapo umeniacha Elli, fafanua tafadhali!Hio ni kwasababu everytime is tea time...
Ok,Vipi kwa yule mkaka bachela?sidhani kama hilo lina tatizo kwani ni kawaida mume kuvaa kitenge au kanga ya mke akiwa home na ili hali mke kuvaa t-shirt au shati la mume