mmhh Ivunga
bwana na we unajua kunitamanisha
naona umenichagulia kitu roho yangu
yapenda kabisa dear.. Nway mimi nipo
Mpen... mmmhh malizia mwenyewe
Na usijali kabisa sinto kaa nikukimbie
maishani mwangu naomba usisahau
"mimi na wewe ni kitu kimoja" hahaha lol
hayaa mtoto mzuri lala salama aeee....
mmmwaaaahhhhhhh:couch2: