Naweza nikawa nimewakera kwa nia moja au lingine na posts zangu mbalimbali.
nachosema I'M SORRY nilichukulia hii site kama site zingine.BUT MNISAMEHE TU KAMA NIMEWAUDHI KWA CHOCHOTE.
We nawe,...unaona sifa kuanzisha thread?!
Mwacheni mwenzenu a-enjoy JF jamani
We hukumbuki ulivyoanza kushika mobile mara ya kwanza ulivyokuwa msumbufu
Naweza nikawa nimewakera kwa nia moja au lingine na posts zangu mbalimbali.
nachosema I'M SORRY nilichukulia hii site kama site zingine.BUT MNISAMEHE TU KAMA NIMEWAUDHI KWA CHOCHOTE.
Naweza nikawa nimewakera kwa nia moja au lingine na posts zangu mbalimbali.
nachosema I'M SORRY nilichukulia hii site kama site zingine.BUT MNISAMEHE TU KAMA NIMEWAUDHI KWA CHOCHOTE.
Take it easy Man
Tufurahi pamoja tumepitisha siku salama
Mambo ya mwisho wa dunia tuwaachie wadhungu
We ponda raha na *Husninyo* wako, mzae watoto mpaka basi
wewe binti nakutafuta sanahahahahah lol
Vituko part 3..
To be continued .........
Naweza nikawa nimewakera kwa nia moja au lingine na posts zangu mbalimbali.
nachosema I'M SORRY nilichukulia hii site kama site zingine.BUT MNISAMEHE TU KAMA NIMEWAUDHI KWA CHOCHOTE.
wewe binti nakutafuta sana
huonekani kabisa
nimekutafuta hadi nataka kulia
jinsi nilivyoimiss mistari yako
kuna katuni mmoja anaitwa klorikwini
anapenda kuchekesha chekesha
basi nikajua amesha kubeba
.... bora nimekuona
kwanza hii kitu hapo down unatumiaga?