beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
- Thread starter
-
- #61
Tena hakuna kitu napendaga kama kutukanwa na mchuchu wangu! Kwani kama ni matusi mbona ndy tuyafanyayo kila tunapopenda!
Tatizo labda ukinitusi wewe.
Bt mamsap ndo kwanza ananipandisha mzuka, mwambie basi aendeleze ntukanie, mie niongeze mahanjam!
Bt ningekuplease usiproceed kuni'creatia viazi vyako from know where!
Umenielewa?
heheeheeeee nimuite nisimuite?????? Anayekuzuzua mpaka ukamsahau baibe nasty??
Mylovy mi mkeo mtu wawatu wala hakuna kitu juu ya young m for real don av a nerve of doit dat to u so relaxNasty! Hapa inakuaje?
Unanchanganyia habari live ?
My hun morning umeamua leo kuniacha kwa bed aaaahmesahau kumbe ndo kile kikao ulichonambia jaaana usiku eeeh?Mwite
hivi nadhani kilichonifanya nifunge mabreki yote kwa huyu binti hamjakijua mjue!
Dats my hubby wat a security!! Lucky meeeBe worry na yule ulimuanzishia Thrade jana, huyu haikuhusu.
kasome njuka wewe
Watu wanataka umaarufu hapa sasa waende kijijin kwao akawadanganye wagoroko wenzakeNambie mammiy nini kinacho?
Are you online?
Haswaa, kumbe unakumbuka! Afu mwambie BT, asubuhi asubuhi hivi keshaanza hodi kwenye nyumba za wenyewe hata hawajaamka hodi!
My hun morning umeamua leo kuniacha kwa bed aaaahmesahau kumbe ndo kile kikao ulichonambia jaaana usiku eeeh?
Haswaa, kumbe unakumbuka! Afu mwambie BT, asubuhi asubuhi hivi keshaanza hodi kwenye nyumba za wenyewe hata hawajaamka hodi! Huyu anatakiwa wamrudishe mkoleni.
Dats my hubby wat a security!! Lucky meee
True dat true daty sweetpieAm just fear to lough with Monkey!
Mabua yatanihusu!
Hata mtu anaefanya masters nae ni njuka soo usijitie upana wa pazia la sinema kutaka jifanya well equiped kumbe huna lolote chefuuu
Madame b na charming lady ntawapa hii kazi
Mwite
hivi nadhani kilichonifanya nifunge mabreki yote kwa huyu binti hamjakijua mjue!
'mkeo' keshamwita mmoja.... Namhurumia anajua shosti wake kumbe wanamzunguka weeeraaa
Afu wewe! haijapigwa unacheza! Ngoja nikuchemshie kadawa!