Ilitabiriwa hii kumbe

Ilitabiriwa hii kumbe

howard

Senior Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
188
Reaction score
30
Mwaka 1995, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akimnadi Benjamin William Mkapa (mtu mzima wakati huo) dhidi ya waliojiita vijana aliasa akasema, “Mkiwachagua hawa vijana watakuja kuwapeni taabu sana baadaye.”Nyerere aliwajua vizuri kumbe na cha moto tunakiona kwa kweli
 
Aisee mchumi katuangusha sana,pesa hakuna,uchumi mbovu,mafisadi wameshikilia uchumi wa nchi.
 
Upuuzi wetu watanzania ndo unatugharimu. kila siku tunashindwa kujua kuwa CCM imezeeka na kuchakaa,.
 
Back
Top Bottom