Ilikuwaje Chenge kuongoza Bunge badala ya Tulia?

Bome-e

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
17,179
26,188
Baada ya mbunge kuwasilisha hoja yake,Spika,naibu au Mwenyekiti huwa wanajiridhisha na hoja hiyo kwa vifungu vya sheria,na hapo huamua kama kuna msingi wa kisheria basi huwahoji wabunge lakini ikiwa vinginevyo basi huiondoa hoja hiyo bila kuwahoji wabunge!

Tuliona hoja ya Zitto ambayo ilikuwa na msingi wa kisheria,lakini kwa kutumia ubabe hakuwahoji wabunge na aliifutilia mbali jambo lilozua tafrani!

Suala la Makonda likaja,na wakati hoja inatolewa alikuwa anaongoza Chenge na akaona msingi wa hoja kisheria,hakutumia ubabe akaamua wabunge waamue na wote wakasema ndioooooo!

Sasa najiuliza,imekuwaje CCM hawakuliona hili?Kwanini hawakumuweka Tulia kama kawaida yao?
 
Hata mimi bado natafakari ilikuwaje Tulia kumwachia kiti mtemi,,
maana najua Tulia bado anajilaumu mpaka sasa
 
Kwani kanuni za bunge zinasemaje lazima Tulia aongoze kila kikao?.........

Kazi ya mwenyekiti wa bunge ni nini?.....

Nyie si ndio mliamua kuweka mwizi?.......

Inamaana hamkujua Sasa hivi mnalialia nini sisi tuliposema huyu ni mwizi nyie mkasema Magufuli anapambana na ufisadi ........

Ufisadi gani wewe jizi umezungukwa na majizi kila sehemu ?.........

Leteni katiba ya warioba acheni porojo............
 
Baada ya mbunge kuwasilisha hoja yake,Spika,naibu au Mwenyekiti huwa wanajiridhisha na hoja hiyo kwa vifungu vya sheria,na hapo huamua kama kuna msingi wa kisheria basi huwahoji wabunge lakini ikiwa vinginevyo basi huiondoa hoja hiyo bila kuwahoji wabunge!

Tuliona hoja ya Zitto ambayo ilikuwa na msingi wa kisheria,lakini kwa kutumia ubabe hakuwahoji wabunge na aliifutilia mbali jambo lilozua tafrani!

Suala la Makonda likaja,na wakati hoja inatolewa alikuwa anaongoza Chenge na akaona msingi wa hoja kisheria,hakutumia ubabe akaamua wabunge waamue na wote wakasema ndioooooo!

Sasa najiuliza,imekuwaje CCM hawakuliona hili?Kwanini hawakumuweka Tulia kama kawaida yao?
 
Back
Top Bottom