hii njia nimeitumia mara tatu na naona inalipa sana.
1)Kama kweli umekosa kubali kosa, omba msamaha (lazima atakataa na kudai pesa), mwambie akuandikie notification na utalipa hata kama iwe laki moja (huwa wanataja figure kubwa kukutisha
2.)Usianze kubargain, mwache ajikanyage kanyage, akikuambia anakupunguzia makosa mwambie kwa unyenyekevu NASHUKURU LAKINI HAPA SINA HATA SENTI TANO, NIANDIKIE TU NOTIFICATION NITALIPA, akikuuliza utalipa lini mwambie SIKU YEYOTE NDANI YA SIKU SABA LAKINI SIO LEO, KWA SABABU SINA HELA SASA HIVI
hapo askari anajua unaelewa mambo, anakasirika lakini anakuachia fasta!
traffic aruhusiwi kuchukua chochote ndugu na kama unamwachia leseni yako basi hata mke atabaki nae..nini maana akichukua anampiggia mwenzake wa mbele anakulamba kama yeye na wa mbele anapigiwa unakuta kutokana na kutoelewa unafinywa kijinga..mi kwanza nikisimamishwa swala la kwanza nalock gari zima na kuhakikisha vioo vyote viko juu kasoro changu na ananifwata na si kumfwata naongea nae nusu kioo...wengi wanawapa nafsi ati anasimamisha anafungua kama anaenda TUONANE GUEST HOUSE na huku anataka hela ...tujue sheria akuna atakaetutesa na ahuku ukihakikisha akuna kosa kwenye gari yako
hii njia nimeitumia mara tatu na naona inalipa sana.
1)Kama kweli umekosa kubali kosa, omba msamaha (lazima atakataa na kudai pesa), mwambie akuandikie notification na utalipa hata kama iwe laki moja (huwa wanataja figure kubwa kukutisha
2.)Usianze kubargain, mwache ajikanyage kanyage, akikuambia anakupunguzia makosa mwambie kwa unyenyekevu NASHUKURU LAKINI HAPA SINA HATA SENTI TANO, NIANDIKIE TU NOTIFICATION NITALIPA, akikuuliza utalipa lini mwambie SIKU YEYOTE NDANI YA SIKU SABA LAKINI SIO LEO, KWA SABABU SINA HELA SASA HIVI
hapo askari anajua unaelewa mambo, anakasirika lakini anakuachia fasta!
Mkuu, hao si wazoefu.
Wale mazoefu atakwambia, twende Kituoni. Mkifika huko unaambiwa subiri. You can spend even the whole day . . . .
Mkuu, hao si wazoefu.
Wale mazoefu atakwambia, twende Kituoni. Mkifika huko unaambiwa subiri. You can spend even the whole day . . . .
Hapo juu mengine ni makosa unayafanya, uyafanye tu kwakuwa unaendeshea Bongo. Na mengine ya kutofungua mlango au vinginevyo, baadhi ya sehem utatolewa kwenye gari na kuwekwa kwenye gari la polisi kisha gari lako litakufuata huko. Naongelea kule wanakofuata sheria.Hii mada imenikumbusha vitu vingi.Huwa sitoi fedha ya aina yoyote kwa askari wa usalama Barabarani,Nina bahati huwa hawanisimamishi hovyo(kutokana na aina ya gari ninayoendesha).
Mara chache wale wanaokosea njia huwa nafanya yafuatayo
ikitokea wametimiza 1,2,3,4 nikisimama nafungua kioo upana wa nchi 3,na kumsikiliza shida yake.nikishamsikiliza na kumuelewa namuomba jina lake kamili,namba yake ya askari pamoja na kituo chake cha kazi.
- sifungui kioo
- sifungui mlango
- siweki gari pembeni y abarabara kusipo na parking
- sisimami katikati ya barabara kuwasikiliza.
[*]sisimami kama sina kosa,barabarani sio sehemu ya kuombana leseni(huu ni msimamo wangu)
- Gari muda wote huwa locked,with radio on,eyes on the road,and sight mirrors.not on some shitty traffic(nimeshanote wanaosimamisha bila mie kuwapa attention)
huwa siwaambii,lakini nina recorder kwenye gari,ninachofanya ni kurekodi kila upuuzi wanaosema.nikishaona haelewi,kang'ang'ania kuomba rushwa,na anaonesha muelekeo wa mie kumtimizia njaa yake huwa namuomba dakika 5 tu asikilize upuuzi woote alioungoea,ikishafikia stage hii,basi kinachofuata ni jamaa kutahayari,kuomba radhi,kunukuu vifungu visivyokuwepo,na kuondoka.
Kama nina kosa obvious (niko makini sana barabarani,gari ninayotumia ni mpya,haina makosa ya kipuuzi),huomba notification na humweleza waziwazi kuwa sitampa pesa ya aina yoyote pale barabarani kwani yeye sio muhasibu wa serikali.
Kwa stage hizo ninazopitia hapo juu napenda ku-declare kuwa sijawahi kutoa RUSHWA BARABARANI,EVER.
Alafu kitu kingine jamani kama ulilipa iyo 20000 badala ya receipt wakakupa notification sasa huoni kuwa huo ni uhuni?
Hawa matrafic huwa wananikera sana nkiwaga na muda huwa nakomaaga nao sana
Kwa kuongezea labda ukiwa kwenye gari akikisha
umefunga mkanda
uko na fire ext
uko na license
uko na kedi yao ya nenda kwa usalama
uko na zile triangle
taa zinawaka zote,
ukitimiza hiki ataishia kuuliza fungua buti kama inafunga vizuri ...wengi ukiwa navyo hivi anakwambia safari njema,,tukubali wengi wanatembea na makosa barabarani na si awajui wanajua kutokuwa na triagle faini ,license shida na bado unaendesha si upaki kama huna rl,ins unangangana na nini...kesi zake kubwa
Kwa kuongezea labda ukiwa kwenye gari akikisha
umefunga mkanda
uko na fire ext
uko na license
uko na kedi yao ya nenda kwa usalama
uko na zile triangle
taa zinawaka zote,
ukitimiza hiki ataishia kuuliza fungua buti kama inafunga vizuri ...wengi ukiwa navyo hivi anakwambia safari njema,,tukubali wengi wanatembea na makosa barabarani na si awajui wanajua kutokuwa na triagle faini ,license shida na bado unaendesha si upaki kama huna rl,ins unangangana na nini...kesi zake kubwa
Ayaaaaaaa. Hii post si ingekuja zamani kidogo. Mi wiki iliyopita traffic kachukua leseni yangu na akaniandikia notification (Road licence imeisha) na akasema nikishalipa nimpelekee risiti anipe leseni yangu. Mnanishaurije hapo wana jamvi. sikuwa na hela ya raod licence nasubiri mwisho wa mwezi huu ndo nikakate.