ili jamaa jinga kweli!!!

mbatia mnzava

Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
27
Reaction score
3
mfalme mmoja alitangaza kuwa binti yake anataka kuolewa.hivyo basi atakayetaka kumuoa nilazima avuke mto wenye mamba wengi.basi siku iliyofuatia vijana wakajitokeza kwa wingi.zoezi likaanza.kulikua na baunsa mmoja alikua akiwasukuma wenzake waliwe kwa sababu walikua wengi ili wale mamba wawale ili washibe apite kwa urahisi.alipo msukuma jamaa mmoja kwa bahati nzuri yule jamaa akapita bila kuliwa.mfalme akasitisha zoezi akamtangaza jamaa kashinda.jinsi yule jamaa alivyokuwa mjinga akasema kwa ukali nani kanisukuma.mfalme alipo sikia vile akaamuru zoezi liendelee kwasababu kumbe jamaa alikua amesukumwa hajapita kwa hiari yake!!!
 
Naohofia kusema kuwa huu mfano ni wa kiranja wetu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…