msukule mzembe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 295
- 371
Kichwa cha habari chahusika vizuri tu.
Kuna siku niliamua kutafuta demu fb. nikapata pisi moja kaleeeee. si nikaitongoza ikakubali. akanipa no zake za whatsapp tukatoka messenger tuka ruka hadi tsap. Tukaanza kuchat mara aniombe hela ila kwa kua hela ninazo nikawa nampa tuuuuu. nikimpigia voice na video call hapokei anasema hatak hayo mambo mpaka tukutane live. Nikipanga siku analeta udhuru
Nikajisemea huyu demu anazingua na tunapoelekea naweza hata kukosa tunda kimasihara. nikamcheki kwa namba nyingine nikampigia simu akapokea ile kupokea nikashangaa ni kidume nikamwambia mimi ndo dafriana alivyosikia hivyo akani block kila kona alafu akazima simu.
Hakika niliumia sana maana amekula hela zangu kiwizi kumbe dume. toka siku hiyo nikawa simuamini mtu yoyote mitandaoni
SWALI: kwanini wanaume mitandaoni wanajifanya wanawake kwa kutumia picha za kike na majina ya kike. shida ni nini
nawasilisha kwenu wakuuuu vp mawazo yenu





Kuna siku niliamua kutafuta demu fb. nikapata pisi moja kaleeeee. si nikaitongoza ikakubali. akanipa no zake za whatsapp tukatoka messenger tuka ruka hadi tsap. Tukaanza kuchat mara aniombe hela ila kwa kua hela ninazo nikawa nampa tuuuuu. nikimpigia voice na video call hapokei anasema hatak hayo mambo mpaka tukutane live. Nikipanga siku analeta udhuru
Nikajisemea huyu demu anazingua na tunapoelekea naweza hata kukosa tunda kimasihara. nikamcheki kwa namba nyingine nikampigia simu akapokea ile kupokea nikashangaa ni kidume nikamwambia mimi ndo dafriana alivyosikia hivyo akani block kila kona alafu akazima simu.
Hakika niliumia sana maana amekula hela zangu kiwizi kumbe dume. toka siku hiyo nikawa simuamini mtu yoyote mitandaoni
SWALI: kwanini wanaume mitandaoni wanajifanya wanawake kwa kutumia picha za kike na majina ya kike. shida ni nini
nawasilisha kwenu wakuuuu vp mawazo yenu






