Ile namber ya kuzuia ajali

Ile namber ya kuzuia ajali

Patrolman

Member
Joined
Sep 14, 2015
Posts
17
Reaction score
3
Kuna ile no huwa inatolewa na jeshi la polisi ili kusaidia kupunguza ajali. Mm nashauri no ile ibadikwe kwenye kila basi la abiria, pia zile speed meter moja iwekwe huku kwa abiria ili dereva akizidisha speed abiria wanaona na kutoa taarifa nadhani hii itasaidia kidogo.
 
0758000555...........au taarifa kwa polisi ni 0783034224
 
Yaani Kwanza Wanaudhi Siku Hizi na Sheria Hizi..yaani Mpka Ufike Dar SA Saba Usiku ... .. Mi wala Sireport maana Ukiripoti mnafikishwa Asubhi
 
Back
Top Bottom