na mi nipoo mkuuuuZuzu mwenyewe mkuu😀
Tatizo la nchi hii sio CCM bali ni raia wake walio jaa mambo ya hovyo.Nimekupata vyema Mkuu
Bila ya shaka hamna point ya maana iliyofikiwa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ningeshangaa kama haupo maana wewe ni muasisi wa uzi pendwa wenye views nyingi😀na mi nipoo mkuuuu
Kwamba atakuwa ameacha legacy kubwa Jf baada ya kuondoka kwake[emoji1]Ningeshangaa kama haupo maana wewe ni muasisi wa uzi pendwa wenye views nyingi[emoji3]
Naaam mkuu 😀Kwamba atakuwa ameacha legacy kubwa Jf baada ya kuondoka kwake[emoji1]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ule uzi max inabdi anilipeeeeNingeshangaa kama haupo maana wewe ni muasisi wa uzi pendwa wenye views nyingi😀
nikiondoka uzi utaishii mpaka kiamaaa au siku jf ikifaaaKwamba atakuwa ameacha legacy kubwa Jf baada ya kuondoka kwake[emoji1]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Siku hizi ni id tofauti, hiyo imekuwa replaced, anyway, upepo unaomalizwa na kutolewa maelezo kwangu sioni kama kuna tatizo.Cc denooJ nilikwambia watanzania ni watu wanaenda kwa upepo tu hawana reasoning yoyote ile.
Kweli aisee ila usije ukagombana naye kama The BoldUle uzi max inabdi anilipeeee
Upepo wa maandamano ushapita...sasa ni mjadala wa kazi za JWTZ ni zipi....wengi hawana hata habari kama mjadala huo umeletwa na maandamano ya chadema...[emoji1787]Kwani ww umesahau kuwa watz ni watu wa kwenda na upepo?
Ulianza upepo wa bandari ukaisha,ukafuata upepo wa mgao wa umeme ukapita, ukaja upepo wa makonda kuteuliwa kuwa mwenezi wa ccm ukapita ,ukaja upepo wa Simba kufungwa 5 na yanga ukapita , ukaja upepo wa manara kutembea sijui na demu gani ukapita, ukaja upepo wa mtz aliye uliwa na Hamas ukaisha, ukaja upepo wa Mwinjaku kuzindua ghorofa ukapita,sasa hivi tuko kwenye upepo wa maandamano ya chadema yaliyo tangazwa na mbowe , yaani hili linchi lina mambo ya hovyo na raia wake pia ni wa hovyo.
La TB Joshua halikubamba sana...wabongo wamechanganyika sana hivyo wanakwepa mijadala ya kidini ili kuepuka kuwakwaza majirani, ndugu, jamaa na wapenzi(bongo ni kawaida kukuta ustadh anakula mlokole and the vice versa is also true)!Walishamove wapo kwa TB joshua ila nalo litapita... Watanzania hawana consistency kiufupi hawana maajabu[emoji16]
ni vizuri angeulizwa tindo lusu 🐒Habari Wakuu!
Samahanini kama nitawakwaza maana huenda likawa swali lenye kutoneza hisia za watu maana sijui iliiashia vipi (May be labda ndo kweli imeenda)
Ssa wanaJamiiForums kwa kipind fulani nilikuwa chaka huko hata kufuatilia yanayoendelea ilikuwa kikwazo lakini baada ya kurejea naona sisikii tena kuhusu bandari
Ningependa munijuze wanaJamiiForums wenzangu kwani imeeishiaishia vip?
Natanguliza shukrani za dhati kwenu[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upepo wa maandamano ushapita...sasa ni mjadala wa kazi za JWTZ ni zipi....wengi hawana hata habari kama mjadala huo umeletwa na maandamano ya chadema...[emoji1787]
Leo Taifa Stars wanacheza...story zitahamia kwenye afcon [emoji16]
Na sasa Mkuu tupo kwa MakondaUpepo wa maandamano ushapita...sasa ni mjadala wa kazi za JWTZ ni zipi....wengi hawana hata habari kama mjadala huo umeletwa na maandamano ya chadema...[emoji1787]
Leo Taifa Stars wanacheza...story zitahamia kwenye afcon [emoji16]